Hii theory mzee practical sasa. Pesa ina nguvu yake hakuna mwanamke asiyependa mitoko, simu kali, shopping labda mama zetu wa miaka ya zamani za kale.Kutegemeana na aina ya mtu uliyeingia nae katika hayo mahusiano. Kwangu pia naamini hivyo, Ila kuna watu bila uchumi uliokaa vizuri hawezi kuwa na wewe.
Mi huwa sitongoziWe huwa unajisikiaje mtu akikuuliza hilo swali,unamtokea mdada cha kwanza anakuuliza hivyo?
Unafanyaje ?Mi huwa sitongozi
Hahhahahah yaani daah hali ni ngumu bwasheeKama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?
Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!
Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.
Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!
Unafanya kazi gani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nacheka km chizi hapa, nimekumbuka kitu flan hivi lol
Hahhahhha ukiniuliza hivi naanza kukupotezea yaan 🚮🚮🚮🚮Unafanya kazi gani,wapi???🚶🚶🚶
atadai anavuta mkono kisha anapiga,Unafanyaje ?
No Kwa dunia ya Leo swala la uchumi ni Jambo la msingi sana anaweza asiwe na pesa wala kazi Ila Kwa unavyomuona anaweza kukusaidia kwenye shughuli binafsi kama biashara au kufuga nyumbani au shughuli yoyote binafsi ya kiuchumi Kwa dunia ya Leo kuowa mtu ambaye anafuga kucha Tu na kupaka rangi yeye anangojea aletewe ni disaster kwenye future ya kizazi chakoIla kwenye mahusiano ukichimba kidogo unagundua uchumi sio kigezo kikubwa... I stand to be corrected
😂😂😂😂😂😂atadai anavuta mkono kisha anapiga,
Ila JF bhana, unaweza dhania watu hawaishi dunia hii hii..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni HRUnafanya kazi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]atadai anavuta mkono kisha anapiga,
Ila JF bhana, unaweza dhania watu hawaishi dunia hii hii..!!
Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?
Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!
Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.
Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!
Ni kwasababu hao ndo wenye upendo wa kweli.. kwao pesa ipo so most of them huwa wanataka upendo tuu..Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?
Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!
Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.
Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!
Miaka inaenda na kizazi kinachozaliwa ndiyo hikiKama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?
Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!
Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.
Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!