Hadi akuombe itakuwa ni mshikaji wako sana[emoji16][emoji16]Hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Anaomba zawadi, ila wanaume
Mi Kuna mmoja alikuwa ananiomba pafyume ya 230k...mpaka sasa
Huwaga namuangaliaga simmalizi[emoji2960]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Unafanya kazi wapi dia[emoji16]Unafanya kazi wapi? Ukiniuliza hili swali nakutukana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna mwingine aliniuliza unakunja ngapi kwa mwezi[emoji1787][emoji1787]Unafanya kazi wapi dia[emoji16]
Yaani tshirt imekunyima mume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mkaka mmoja nilikutana nae siku za nyuma akajifanya amenipenda ghafla nikaanza kuingia lain namba ya simu nikampa.
Baada ya kama week mbil za mawasiliano ya hapa na pale nikamwambia naenda mji flani kesho kwenye interview akaniombea kheri nikaenda.
Baada ya siku kadhaa akanichek unarudi lin nikamwambia kesho akaniambia sawa usiahau zawadi sijakaa sawa ananitumia picha ya Tshirt kali aliipiga picha kwenye duka moja hivi eti nataka zawadi yenyewe iwe hio t-shirt.
Sikuamini nilimchukia hapo hapo nikamwambia naomba tuachane mpaka leo staki hata kumuona.
Mzee mwenzangu ngoja nipige kambi hapa nione mitazamo ya watuMsemo wa kutetea umarioo na kukimbia kivuli Cha uwajibikaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume siku hizi tunatia foraKuna mwingine aliniuliza unakunja ngapi kwa mwezi[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Dia wewe hutoagi zawadi?[emoji16]Ni tuvivulana tudogo tulitokosa muelekeo hata jf vimejaa kibao.
Potezea mkuu nimetania tu
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mmmmmhMimi kuna binti nilimpiga chini hatua za mwanzo kabisa ya uhusiano.
Nilikuwa busy na kazi sana wakati tunafahamiana.
So akawa anaona namkwepa kwenda kutimiza haja zake...bila kujua kiasi gani nimetingwa na kazi.
Siku moja akaniambia...dia suala la hotel nitagharamia na pesa ya kutumia ninazo zakutosha wewe tenga muda haraka plz.
Nilimpigia simu nikamwambia futa simu yangu...nami baada ya call hii nafuta.
Ikawa mwisho wetu.
Yaah.[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mmmmmh
Kwanini sasa mkuu?[emoji849][emoji849][emoji848]Mimi kuna binti nilimpiga chini hatua za mwanzo kabisa ya uhusiano.
Nilikuwa busy na kazi sana wakati tunafahamiana.
So akawa anaona namkwepa kwenda kutimiza haja zake...bila kujua kiasi gani nimetingwa na kazi.
Siku moja akaniambia...dia suala la hotel nitagharamia na pesa ya kutumia ninazo zakutosha wewe tenga muda haraka plz.
Nilimpigia simu nikamwambia futa simu yangu...nami baada ya call hii nafuta.
Ikawa mwisho wetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaah.
Hiyo ni dharau kubwa sana.
Mwanamke ataanzaje kunifadhili?
Acha hizo hizo huo ni upendo sio fadhilaYaah.
Hiyo ni dharau kubwa sana.
Mwanamke ataanzaje kunifadhili?
Hii nitakuruhusu tukiwa tuna historia...labda imetokea nimekwama sana.
🤣🤣🤣🤣Chalii yangu..Sasa si alikua anakusaidia jamani...ila Nimecheka sanaMimi kuna binti nilimpiga chini hatua za mwanzo kabisa ya uhusiano.
Nilikuwa busy na kazi sana wakati tunafahamiana.
So akawa anaona namkwepa kwenda kutimiza haja zake...bila kujua kiasi gani nimetingwa na kazi.
Siku moja akaniambia...dia suala la hotel nitagharamia na pesa ya kutumia ninazo zakutosha wewe tenga muda haraka plz.
Nilimpigia simu nikamwambia futa simu yangu...nami baada ya call hii nafuta.
Ikawa mwisho wetu.
Niliona kuwa anahisi ninapomwambia nimetingwa kuwa sina maisha labda.Kwanini sasa mkuu?[emoji849][emoji849][emoji848]
Sijaona kosa la demu[emoji57]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mmh chalii yangu...kusaidiwa kwa dharau big noo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chalii yangu..Sasa si alikua anakusaidia jamani...ila Nimecheka sana