Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Ukiangalia teuzi nyingi za Mama utaona kuwa watu wake wengi anaowateua ni dizaini ya Masanja Mkandamizaji au Steve Nyerere, watu wasioeleweka. Yaani kwao kila kitu wanadhania ni comedy tu, hawa ndiyo watu awapendao mama ili awatawale kiurahisi.Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Wote ni ubatili! Nothing New from CCM. My mother is clearly wrong!Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
NDO UNATAKIWA UJUE KUWA HIZO NI NAFASI ZA KISIASATutajie mkuu wa mkoa serious
Au unamtaka Mwanri A
Hahaha! Wafanyabiashara kaeni na fire extinguisher karibu.duh sijui masoko gani yataanza kuunguzwa Mwanza
Sasa mmetuletea huku mwanza wa nini..?Mara mia afadhali huyo, lakini Makala ni mbabaishaji tu. Hata kuongea hajui
Kwani unamlinganishaje, kwa mfano kama ulikuwepo, mwalimu Nyerere na Samia? Siku hizi uongozi sio lazima uwe na akili timamu, tumeshuhudia vichaa wakiwa kwenye ofisi kubwa za ummaWatu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Hao viongozi siriasi wa Tanzania ni akina nani? Hauwezi kuwa na viongozi siriasi huku wakiiba pesa za wananchi, wakinunua mabehewa mitumba! Wakishindana kujenga makasri, kununua mabasi na malori! Na kutojiwajibisha, ee Mungu tunusuru tutoke kwenye pepo hili ovu.Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Kwa CCM siyo issue. Wao hawako kuleta maendeleo.You have nailed it, the guy is a joker
Utafiti wa kisaikolojia unaonesha kuwa"Watu COMEDIAN wanaakili mno(Witty) kuliko wanaojifanya serius",..google utaniambiaWatu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ikiwa failure Bashite kaweza itakuwa wengine?Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Mtaka ana nini cha tofauti? Tueleze nasi tumuelewa.All RCs minus Antony Mtaka are a joke.
😂You have nailed it, the guy is a joker
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?