Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Kiboko ya mashoga, wasagaji, wezi, majambazi na wahuni, mlizoea siasa za kupepesana, inawapasa mpewe viongoz wakali watakaowanyoosha, hakuna kuchekewa.

Huo ndio uongozi
 
Elewa kuwa Chalamila anayo elimu kubwa kuliko wewe Resilience mhuni mkubwa kundi la wajinga wanaoijiona kujua kila kitu ilhali ni Zero brain.

Wazee wa visasi mnazidi kupigwa na vitu vizito visogoni....

Yaani wewe na Zitto ni kama mnatamani kujiua vile!
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ukiangalia teuzi nyingi za Mama utaona kuwa watu wake wengi anaowateua ni dizaini ya Masanja Mkandamizaji au Steve Nyerere, watu wasioeleweka. Yaani kwao kila kitu wanadhania ni comedy tu, hawa ndiyo watu awapendao mama ili awatawale kiurahisi.
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Wote ni ubatili! Nothing New from CCM. My mother is clearly wrong!
 
Aisee
IMG_20230516_042239.jpg
 
Chalamila kwangu mimi ni kiongizi mzuri, huwa sipendi viongozi wasiopenda ku interact na watu, Chalamila hana hiyo tabia ya kujifungia ofisini.
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Kwani unamlinganishaje, kwa mfano kama ulikuwepo, mwalimu Nyerere na Samia? Siku hizi uongozi sio lazima uwe na akili timamu, tumeshuhudia vichaa wakiwa kwenye ofisi kubwa za umma
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Hao viongozi siriasi wa Tanzania ni akina nani? Hauwezi kuwa na viongozi siriasi huku wakiiba pesa za wananchi, wakinunua mabehewa mitumba! Wakishindana kujenga makasri, kununua mabasi na malori! Na kutojiwajibisha, ee Mungu tunusuru tutoke kwenye pepo hili ovu.
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Utafiti wa kisaikolojia unaonesha kuwa"Watu COMEDIAN wanaakili mno(Witty) kuliko wanaojifanya serius",..google utaniambia
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ikiwa failure Bashite kaweza itakuwa wengine?

Kazi za Ukuu wa Mkoa ni "routine works", kawaida sana kama afisa yeyote yule.

Ubunifu unaotakiwa ni usanii wa kujuwa kucheza na media tu.
 
Ni wivu tu unakusumbua, je wewe ukipewa hiyo nafasi utaweza? Watu gani serious? Akina makalla?
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
 
Mme shindwa kupambania wabunge wenu mna leta hasira kwenye wateule tena mkuu wa mkoa seriously
 
Shida kubwa ipo Kagera watamkuta ana Mimba huyo mama
 
Back
Top Bottom