Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo sio uchafu ndugu ungesema ni umalaya.Mimi nimeona uchafu ndugu kuona Yule mwanamke anagawa huduma huku na huku.....
Hakika ndugu haya mambo haya.....yafaa uwe na kifua maana watu wanaoonana wakiwa uchi wana mambo mengi sana.....Kilichokuchanganya ni vile alikua ana date na watu wawili unaowafahamu otherwise hakuna jipya hapo, chain kwa vijana haiepukiki, hata hao rafiki zako wana babes zao pia, ulifanya busara sana kukaa kimya.
Umri wa kutosha kuweza kuwa Baba yako mzazi au babu yakoUna umri gani
Akili zako hazina akiliUmri wa kutosha kuweza kuwa Baba yako mzazi au babu yako
Na wewe ukakubali ili rafiki zako waharibikiwe?Hapana ni yeye kabisa....maana baada ya pale alinitafuta akaniambia nimstiri.....
Onyesha wapi hana akiliAkili zako hazina akili
Huoo uzi kandika mtu chiziOnyesha wapi hana akili
Kawaida hiyo,wakisema mapenzi uchafu wanamaanisha kuzama uvinza,na mautundu mautundu mengineMimi nimeona uchafu ndugu kuona Yule mwanamke anagawa huduma huku na huku.....
Sijaona shida ya uzi labda wewe una hasira tu mkuu.Huoo uzi kandika mtu chizi
Kuishi kwingi kuona mengiLeo nimekumbuka kiss hiki cha miaka kadhaa nyuma.....
Nilikuwa na rafiki yangu mpendwa alikuwa na mchumba ambaye ni shemeji yangu ambapo walikuwa mbioni kufunga ndoa.....na maandalizi na harakati za hapa na pale yalishaanza.....
Ni Shem ambaye tulizoeana kwa kuwa mara kadhaa nilikuwa nikifika kwa rafiki yangu nawakuta ingawa walikuwa hawaishi pamoja........
Siku moja na pita pita mitaa ya kariakoo nakutana na rafiki yangu wa siku nyingi tulisoma naye shule ya msingi miaka mingi iliyo pita.....katika harakati za kuchangamkiana tukajikuta tunapanga siku ya kuonana ili tuongee mengi zaidi maana aliniambia anaishi maeneo ya kigamboni.......
Basi weekend moja nikamtaarifu kuwa naenda kumtembelea na yeye alifurahi sana akaniambia kuwa itakuwa vizuri pia umjue Shemeji yako maana na yeye amekuja leo......nikamwambia Sawa.....
Masaa kadhaa nikawa nimefika aliponielekeza nishukie akamtuma kijana kuja kunichukua kuelekea nyumbani kwake.....si haba ilikuwa nyumba ya kisasa......
Wakati tukiendelea na maoengezi ya hapa na pale akamuita Shem aje nimsalimie.....laahaulah!! Ni yule mchumba wa rafiki yangu kule mtaani.....cha ajabu yule mwanamke hakuonesha mshtuko wowote nami nikauchuna kimya.....
Mida ilipotimu nikaaga nikaondoka zangu......Ile picha pale iliniachia maswali mengi sana lakini nikaamua kukaa kimya na kuendelea na maisha yangu......
Mpaka nahama pale mtaani Yule rafiki yangu alikuwa hajafunga ndoa bado na Yule bibie na kule kwa jamaa yangu kigamboni sikuulizia lolote kuhusu yeye na Yule bibie........
DAH!
KWELI KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI........
Kweli ndugu yangu... kikubwa Uhai tuKuishi kwingi kuona mengi
Eeeh we endelea kunyutiKweli ndugu yangu... kikubwa Uhai tu
Hamna mapenzi masafi labda ufeLeo nimekumbuka kiss hiki cha miaka kadhaa nyuma.....
Nilikuwa na rafiki yangu mpendwa alikuwa na mchumba ambaye ni shemeji yangu ambapo walikuwa mbioni kufunga ndoa.....na maandalizi na harakati za hapa na pale yalishaanza.....
Ni Shem ambaye tulizoeana kwa kuwa mara kadhaa nilikuwa nikifika kwa rafiki yangu nawakuta ingawa walikuwa hawaishi pamoja........
Siku moja na pita pita mitaa ya kariakoo nakutana na rafiki yangu wa siku nyingi tulisoma naye shule ya msingi miaka mingi iliyo pita.....katika harakati za kuchangamkiana tukajikuta tunapanga siku ya kuonana ili tuongee mengi zaidi maana aliniambia anaishi maeneo ya kigamboni.......
Basi weekend moja nikamtaarifu kuwa naenda kumtembelea na yeye alifurahi sana akaniambia kuwa itakuwa vizuri pia umjue Shemeji yako maana na yeye amekuja leo......nikamwambia Sawa.....
Masaa kadhaa nikawa nimefika aliponielekeza nishukie akamtuma kijana kuja kunichukua kuelekea nyumbani kwake.....si haba ilikuwa nyumba ya kisasa......
Wakati tukiendelea na maoengezi ya hapa na pale akamuita Shem aje nimsalimie.....laahaulah!! Ni yule mchumba wa rafiki yangu kule mtaani.....cha ajabu yule mwanamke hakuonesha mshtuko wowote nami nikauchuna kimya.....
Mida ilipotimu nikaaga nikaondoka zangu......Ile picha pale iliniachia maswali mengi sana lakini nikaamua kukaa kimya na kuendelea na maisha yangu......
Mpaka nahama pale mtaani Yule rafiki yangu alikuwa hajafunga ndoa bado na Yule bibie na kule kwa jamaa yangu kigamboni sikuulizia lolote kuhusu yeye na Yule bibie........
DAH!
KWELI KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI........
Walijiharibu wenyewe ndugu kwa kuokotana barabarani.....kama mmoja wao ingekuwa amemuoa nisingekaa nalo rohoni lakini wote ni wazinzi nikaona haina hajaNa wewe ukakubali ili rafiki zako waharibikiwe?
Kwa hiyo ukifa ndio unakutana na masafi ....??Hamna mapenzi masafi labda ufe
Sasa mm mpaka leo namla demu wa jamaa wangu na mbona fresh tuuWalijiharibu wenyewe ndugu kwa kuokotana barabarani.....kama mmoja wao ingekuwa amemuoa nisingekaa nalo rohoni lakini wote ni wazinzi nikaona haina haja