BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Ili mradi njia ya uhani haioti nyasiKuna watu mna dharau sana, usiidharau kazi halali ya mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili mradi njia ya uhani haioti nyasiKuna watu mna dharau sana, usiidharau kazi halali ya mtu.
Nimepokea dada, habari yakoKaka nakusalimiaaa
Hivi kwa uhitaji wa usafiri Dar es salaam bado una mashaka bodaboda kuingiza 50000+ per dayAnapaki wapi huyo boda wa kulaza 50,000 per day?
Miee poa kabisaa..God is goodNimepokea dada, habari yako
Umenifurahisha sana mkuuShida siku hizi heshima ya utu inapimwa kwa aina ya kazi unafanya.
Mimi ndio maana mtu akiniuliza nafanya shughuli gani namuuliza nikikutajia kazi gani utanipa heshima kubwa ili anitajie nimwambie anipotezee sitaki mazoea
Hakuna kazi isiyo kua na risk ila zinazidiana kiwango cha risk. Pia tambua sana hata akiolewa na mwanaume anae mfungia ndani kama dhahabu kuwa mjane ni pale pale maana tunatembea na kifo. Swala la kuishi mjane au simjane ni la Mungu muda ukifika haijalishi aina ya kazi au wewe ni nani utakufa tuu kwanjia Mungu aliyopanga kikubwa ni kuomba Mungu atupe mwisho mwema saa ikifikaPinga kwa hoja tafadhari.
Sasa mkuu mambo ya kutombeana hapa yanakujaje, mbona unapenda kuvurugs amani palipo na utulivu?? Lets focus on boda boda guyWatu tunaanziaga life mbali sana, usimdharau mtu.
Boda ndio wanaongoza kuwato..mbea wake zenu ujue
Sasa mkuu mambo ya kutombeana hapa yanakujaje, mbona unapenda kuvurugs amani palipo na utulivu?? Lets focus on boda boda guy
Tuache kujifariji.Hakuna kazi isiyo kua na risk ila zinazidiana kiwango cha risk. Pia tambua sana hata akiolewa na mwanaume anae mfungia ndani kama dhahabu kuwa mjane ni pale pale maana tunatembea na kifo. Swala la kuishi mjane au simjane ni la Mungu muda ukifika haijalishi aina ya kazi au wewe ni nani utakufa tuu kwanjia Mungu aliyopanga kikubwa ni kuomba Mungu atupe mwisho mwema saa ikifika
Tittle ya uzi wako ndo inafanya watu wakushambulie, ungeiweka tittle vzuri haya mashambulizi yasingekuwepoAcha watoe ya mioyoni mkuu ila nashukuru kwa kunielewa.
Na watoto wapishane kwenda uaniIli mradi njia ya uhani haioti nyasi
Huoni kuwa kama kweli wana sifa hii uliyowapa, basi mwanzisha thread ana hoja nzuri sana?Watu tunaanziaga life mbali sana, usimdharau mtu.
Boda ndio wanaongoza kuwato..mbea wake zenu ujue
Nakuhakikishia watu wengi wanaompiga vijembe mwanzisha thread ni wanafiki. Kwa wale wenye watoto wa kike, wengi (wale wenye kipato cha kizuri) wakisikia binti yao anataka kuolewa na bodaboda watapinga vibaya sana.Huyo mama yake na binti ni opportunist tu,,pumbavu atamharibia binti