Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
-
- #101
Wala simdai chochote na hata ikitokea siku akaomba msaada kwangu bado nitamsaidia. Sijamhukumu kwa lolote.Unajua ni kwasababu gani hakukuambia kwa wakati huo unaouongelea wewe? Au umeamua tu kumhukumu kwasababu unamdai?
Umeandika ukweli mtupu mkuu. Ni changamoto sana kuwasaidia maana ule msaada unagusa moyo wake na unamfanya aufungue mwili wake. Nadhani hiki kitu ni cha kiasili zaidi na sio kwamba ni uovu.Hakunaga msaada wa watu wa jinsia mbili tofauti ambao hakuna udugu baina yao .
Mwanaume ukianza kumsaidia mwanamke huwa kinafuata kutegwa muwe mahawara.
Wapo wanaume walianza kwa kujifanya kuwasaidia wanawake mwisho wakaangukia kwenye ngono hadi kupelekea ndoa zao kuvunjika na kubaki historia.
Na hiyo huwatokea hata wanaume ambao ni watumishi wa Mungu , wengi wamejikuta wakianguka kwenye uzinzi na uasherati baada ya kuanza kuwasaidia wanawake wenye shida ikiwemo wajane.
Mwanamke skisaidiwa na Mwanaume ambaye si ndugu yake wa damu huyo Mwanaume anayetoa msaada ajiandae kufanya ngono na huyo mwanamke husika ,
Wanawake wanaosaidiwa na wanaume hutoa miili yao kama shukrani kwa wale wanaume walowasaidia,
Na wanawake hujitoa miili yao kingono kwa wanaume wakijua watawashika zaidi hao wanaume na wengine kuwategeshea mimba.
Wanaume msiwachukulie Poa wanawake hata kama akjifanya mkimya kama kondoo lakini moyoni huwa wamejaa hila na uovu mkubwa wa kuangamiza ndoa yako!
Msaidie kama lipo kwenye uwezo wako. Huwezi jua kesho.Ila siku hizi Kuna wanaume wanapenda kuombaomba Ela, kuzoeana tu nongwa, na Wala hajawai kukusaidia chochote.
Sawasawa mpendwaMsaidie kama lipo kwenye uwezo wako. Huwezi jua kesho.
Kwani kukukopesha lazima? Acha ushambaHuyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.
Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.
Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.
Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.
Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.
Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.
Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Acha ujinga wewe unayelalamikia elfu 50 tu.Kwani kukukopesha lazima? Acha ushamba
Sasa kama hivyo sii bora nikatombeee malaya.Umeandika ukweli mtupu mkuu. Ni changamoto sana kuwasaidia maana ule msaada unagusa moyo wake na unamfanya aufungue mwili wake. Nadhani hiki kitu ni cha kiasili zaidi na sio kwamba ni uovu.
Huwa inashauriwa sana hata mwanaume aliyeoa anatakiwa awe anampatia mke wake kiasi fulani cha pesa kwa mwezi. Hii itasaidia sana kwa mwanamke kujitoa katika tendo la ndoa na kupunguza kunyimana.
Ukioa halafu ukapata fursa ya kukaa na watu wazima walioishi vizuri na wake zao watakupa hii siri. Lazima ulipie hata kama ni mke. Ukipuuza hili kila siku atakupa sababu kwanini hajisikii kufanya.Sasa kama hivyo sii bora nikatombeee malaya.
Usikute na yeye alifanya hivyo ili kufidia maumivu ya penzi ulilomkatishaHuyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.
Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.
Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.
Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.
Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.
Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.
Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Hapa mkuu anapata faida gani? Maana hela yenyewe ni kidogo hiyo.Usikute na yeye alifanya hivyo ili kufidia maumivu ya penzi ulilomkatisha
Asante sana. Naona umebadili picha.😂Hongera kwa kusaidia.
Haonwake wenyewe hawajastaarabika kama mbususu mpaka ulipwe mshaharaUkioa halafu ukapata fursa ya kukaa na watu wazima walioishi vizuri na wake zao watakupa hii siri. Lazima ulipie hata kama ni mke. Ukipuuza hili kila siku atakupa sababu kwanini hajisikii kufanya.
Kwenda kwa malaya ni kwa watu wasiostaarabika na wanaoepuka kutumia hekima na ufahamu maishani.
Naona ni kitu cha nature. Ndio wako hivyo.Haonwake wenyewe hawajastaarabika kama mbususu mpaka ulipwe mshahara
Wanaosaidia hawaumii wakikataliwa.. Wanaoumia huwa wanasadia kwa kutegemea kurudishiwa.. WANASAHAU TENDA WEMA NENDA ZAKOHongera kwa kusaidia.
Hiyo hiyo kidogo ndo umeianzishia uzi. Usikute, kama yupo h7mi JF naye anashangilia kuwa kafanikiwa...Hapa mkuu anapata faida gani? Maana hela yenyewe ni kidogo hiyo.
Uzi huu ni kwa faida ya wengi kujifunza kitu. Sio kwa ajili ya kushindana naye.Hiyo hiyo kidogo ndo umeianzishia uzi. Usikute, kama yupo h7mi JF naye anashangilia kuwa kafanikiwa...
Lengo la uzi ni kushirikisha uzoefu ili pengine dada zetu wasifanye hivi maana sio ustaarabu. Kusaidia jamii hakuwezi kuachwa kwasababu ya makosa ya mtu mmoja.Wanaosaidia hawaumii wakikataliwa.. Wanaoumia huwa wanasadia kwa kutegemea kurudishiwa.. WANASAHAU TENDA WEMA NENDA ZAKO