Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,905
- 4,518
Mazingira ya viwanja ya ligi ya Tanzania haya tofauti sana na yale ya ligi zingine nyingi za Africa (ukiacha Afrika ya Kusini na Kaskazini).Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba wachezaji wote wamechezea viwanja kama vya mabatini, kambarage, lake, sokoine mkwakwan, ilullu na kamsamba? assumptions kama hizo ni za kindezi ndezi. Tusiige wazungu kila kitu bila kujali context na background zetu. Angekuwa mm preseason ya timu yangu ingekuwa kubaki nchini na kwenda kufanya mazoezi kwenye hali ya hewa ya viwānja tofauti nchini ili kufahamu mchezaji gani atafaa kucheza kwenye mazingira ya uwanja gani.
Huu sasa utakua ni ubishani wa kitoto kutaka kuaminishana kwamba Jesus Moloko, Bangala, Djuma na Aucho walihitaji preseason pale Mkwakani au Nangwanda ili waweze kucheza pale Manungu na Karume kule Musoma ?
Nadhani tukubaliane tu kwamba hiyo ni personal preference yako wewe kama Kavulata kwamba unapendelea zaidi preseason ya kwenye viwanja vibovu kuliko ile ya kwenye viwanja bora.
Uwe na Jumapili njema Mkuu.