Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,680
- 4,204
Pamoja na kwamba Haji Manara ashagatujuza kuwa pale Yanga mwenye Akili Timamu ni Mzee kikwete na Mzee Manara hawa wengine ni wajinga wa mwisho
Na ukiamua kuwapanga Kwa ranking wajinga wa Yanga huyu jamaa alieleta Uzi waga anaongoza aisee, Yani linapokuja swala la Yanga na usimba jamaa waga kilaza cubic centimetre
Nawashangaa tu mnaotumia nguvu kumuelewesha Huyu jamaa, waga anakuja kajiandaa kubisha kuwa 1+1=11 na sio 2, kwahiyo ata iweje huwezi kumbadirisha
Kuna muda anaandika ujinga hadi waga nafikiri kuna muda akikaa mwenyewe akasoma ujinga wake anaishia kucheka tu, maana ukimkuta kwenye topic zingine anakuwa na Akili timamu hadi unasema mtu sindo huyu sasa, ila mkute kavaa uyanga wake sasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na ukiamua kuwapanga Kwa ranking wajinga wa Yanga huyu jamaa alieleta Uzi waga anaongoza aisee, Yani linapokuja swala la Yanga na usimba jamaa waga kilaza cubic centimetre
Nawashangaa tu mnaotumia nguvu kumuelewesha Huyu jamaa, waga anakuja kajiandaa kubisha kuwa 1+1=11 na sio 2, kwahiyo ata iweje huwezi kumbadirisha
Kuna muda anaandika ujinga hadi waga nafikiri kuna muda akikaa mwenyewe akasoma ujinga wake anaishia kucheka tu, maana ukimkuta kwenye topic zingine anakuwa na Akili timamu hadi unasema mtu sindo huyu sasa, ila mkute kavaa uyanga wake sasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]