Kwenu Viongozi wa Umoja Party

Kwenu Viongozi wa Umoja Party

Pokeeni pongezi zangu za dhati kwanza kwa kuwaza na kuamua kutengeneza chama chenye mlengo na falsafa anuia za Hayati na Kipenzi chetu Dr. Magufuli. Hakika mmefanya jambo kubwa nala kutukuka sana.

Pamoja na pongezi zangu nyingi napenda kuwatahadharisha na kuwaasa kuwa makini sana kwa kila hatua mnayoiendea kwa maana dhamana na imani ya watanzania inakwenda kuwekwa juu yenu. Ni ombi langu kwenu kuwa na dhamiri ile ile ya upendo kwa Tanzania na watu wake huku mkijibidiisha kwa kila namna kuhakikisha Tanzania inapata viongozi wenye kiu na dhamira ya kweli kufikia maono makubwa ya kipenzi chetu Magufuli.

Ni vizuri kufahamu ya kuwa Tanzania ya sasa haina upungufu wa vyama vya siasa au sera nzuri za uendeshaji wa nchi. Hivyo ni budi kwenu kuyasoma na kuyapatia ufumbuzi yote ambayo ni maidhafu ya vyama vya siasa vilivyopo sasa ambavyo vimeshindwa kuonesha dira ya kweli ya Taifa letu kwa miaka 50 hadi 100 ijayo. Magufuli aliipenda Tanzania na kuchukizwa kabisa kwa maneno na vitendo na hali mbaya ya umaskini, ufisadi na dharau ya watawala/mabwenyenye waliojimilikisha nchi dhidi ya tabaka kubwa la watanzania wanyonge.

Ni ombi langu kwenu kutanguliza uzalendo na elimu ya kisiasa kwa watanzania wote wapate kufahamu dira, muelekeo na falsafa za chama. Katika hatua hizi za mwanzo ni muhimu sana kuhakikisha mnatengeneza misingi imara ya kitaasisi kwanza kwa kuhubiri na tena kuonesha kwa vitendo ili watanzania wayaamini hayo mnayapeleka kwao. Pasiwepo na hila midomoni mwenu tena Amani, Upendo,Haki na Mshikamano visipungue katika majukwaa yenu. Njoo na majibu ya namna ambavyo Tanzania itaweza kuendelea kiuchumi, kijamii na kisiasa. Ni muhimu sana kuzisema changamoto zote na kuueleza uma watanzania ni kwa njia gani tutafikia maendeleo ya kweli. Watafuteni wazee wazalendo wawapatie hekima zao, wapongezeni wanaostahili pongezi, wakemeeni wanastahili makaripio.

Karibuni kwenye ulingo wa siasa za Tanzania, karibuni kwenye figisu za CCM, karibuni kwenye hila za CHADEMA, karibuni kwenye kichaka cha wahuni na watakatishaji wa udhalimu.

Umoja ni nguvu, Umoja ni Ushindi, Umoja ni Maendeleo.
Nasikia leo kuna mtu katekwa tayari..
UTEKAJI utaanza tena upya🙄
 
Nasikia leo kuna mtu katekwa tayari..
UTEKAJI utaanza tena upya🙄
Na hii nayo watamlaumu JPM au mama anaupiga mwingi sasa?
 
Ndugu,
Ukiamua kuwa huru na mawazo yako utamuona Magufuli katika picha nyingi sana. Kimoja ambacho wote tunakubaliana ni kuwa Magufuli alikua mzalendo na mwenye upendo wa dhati kwa Tanzania. Alihubiri Tanzania yenye maendeleo na aliamini katika watanzania hivyo alipandikiza mbegu ya ujasiri na uzalendo kwetu wote. Sisi tuliobaki tumejifunza mengi na tunaanzia hapo kuhakikisha kweli tunaisimamisha Tanzania ya mfano na mkombozi wa bara la Africa
Wazo kuu la Magufuli hakuamini katoka vyama vingine tofauti na CCM
 
Mbona huwasisitizii kuendeleza uharamia wa marehemu wa kuteka, kutesa, kuwapoteza na kuwabambikia kesi wale wote watakaowakosoa.
Yaani kama maharamia wa kizhungu na waarabu? au?
Kwa watu wengi wenye kuthamini utu wa mwanadamu, neno Magufuli ni dhihaka dhidi ya ubinadamu. Waende na jina hilo hilo kila mahali, watayapata majibu.
Tatizo nyie Kaburu gang mnafikiri nyie ndie wanadamu, kumbe nyie ni Wanyonya-damu, wazandiki, wanauhasama hasi, wa kuteka na wabambakiazi wa kesi kibao duniani.
 
Mbona huwasisitizii kuendeleza uharamia wa marehemu wa kuteka, kutesa, kuwapoteza na kuwabambikia kesi wale wote watakaowakosoa.

Kwa watu wengi wenye kuthamini utu wa mwanadamu, neno Magufuli ni dhihaka dhidi ya ubinadamu. Waende na jina hilo hilo kila mahali, watayapata majibu.
Wahuni tu hamna Cha maana ,
 
Pokeeni pongezi zangu za dhati kwanza kwa kuwaza na kuamua kutengeneza chama chenye mlengo na falsafa anuia za Hayati na Kipenzi chetu Dr. Magufuli. Hakika mmefanya jambo kubwa nala kutukuka sana.

Pamoja na pongezi zangu nyingi napenda kuwatahadharisha na kuwaasa kuwa makini sana kwa kila hatua mnayoiendea kwa maana dhamana na imani ya watanzania inakwenda kuwekwa juu yenu. Ni ombi langu kwenu kuwa na dhamiri ile ile ya upendo kwa Tanzania na watu wake huku mkijibidiisha kwa kila namna kuhakikisha Tanzania inapata viongozi wenye kiu na dhamira ya kweli kufikia maono makubwa ya kipenzi chetu Magufuli.

Ni vizuri kufahamu ya kuwa Tanzania ya sasa haina upungufu wa vyama vya siasa au sera nzuri za uendeshaji wa nchi. Hivyo ni budi kwenu kuyasoma na kuyapatia ufumbuzi yote ambayo ni maidhafu ya vyama vya siasa vilivyopo sasa ambavyo vimeshindwa kuonesha dira ya kweli ya Taifa letu kwa miaka 50 hadi 100 ijayo. Magufuli aliipenda Tanzania na kuchukizwa kabisa kwa maneno na vitendo na hali mbaya ya umaskini, ufisadi na dharau ya watawala/mabwenyenye waliojimilikisha nchi dhidi ya tabaka kubwa la watanzania wanyonge.

Ni ombi langu kwenu kutanguliza uzalendo na elimu ya kisiasa kwa watanzania wote wapate kufahamu dira, muelekeo na falsafa za chama. Katika hatua hizi za mwanzo ni muhimu sana kuhakikisha mnatengeneza misingi imara ya kitaasisi kwanza kwa kuhubiri na tena kuonesha kwa vitendo ili watanzania wayaamini hayo mnayapeleka kwao. Pasiwepo na hila midomoni mwenu tena Amani, Upendo,Haki na Mshikamano visipungue katika majukwaa yenu. Njoo na majibu ya namna ambavyo Tanzania itaweza kuendelea kiuchumi, kijamii na kisiasa. Ni muhimu sana kuzisema changamoto zote na kuueleza uma watanzania ni kwa njia gani tutafikia maendeleo ya kweli. Watafuteni wazee wazalendo wawapatie hekima zao, wapongezeni wanaostahili pongezi, wakemeeni wanastahili makaripio.

Karibuni kwenye ulingo wa siasa za Tanzania, karibuni kwenye figisu za CCM, karibuni kwenye hila za CHADEMA, karibuni kwenye kichaka cha wahuni na watakatishaji wa udhalimu.

Umoja ni nguvu, Umoja ni Ushindi, Umoja ni Maendeleo.

Tiss na ccm bado wanaamini wananchi ni mazombie wa kuwatengenezea vyama vya mchongo ili kuipa backup ccm?! Hiki chama kilianzishwa kipindi cha Magufuli, ila kikachelewa kuanza, na kitakuwa kinafanya siasa kwa miongozo ya Ccm. Kwa bahati mbaya wananchi wanajua wakitakacho sio hivyo vyama vya michango.
 
Mnamaanisha CDM kwishney?!!!!!!!!!!! Well, that's good to hear!

Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm lakini yameshindwa kutimia, mpaka dhalimu ikabidi atumie mabavu ya wazi, na uporaji wa uchaguzi ili kuiua cdm. Mkitaka kujua wananchi wanajitambua, hii ccm academia ianze muone kama itavutia watu. Ccm ilifanikiwa kupandikiza vyama mamluki watu wakiwa wamelala, ila sio Sasa.
 
Yaani mie ni kiongozi chama ngazi ya mkoa na taifa,tumechoka na huu ushenzi wa ccm chadema Act,

Mmeichoka ccm Wakati ndio imewaanzisha, au unadhani tutapotea maboya kirahisi hivyo? Hii mbinu ya kuanzisha chama na kuja na gia hizo ccm ilifanikiwa zamani, kwa sasa tunawachora tu.
 
Kiongozi shupavu anapimwa wakati wa dhiki na mashaka. Uwezo wa kusimamisha chama wakati huu mgumu ni mtihani wa kwanza mgumu na muhimu tuwe mashuhuda

Kuna ugumu gani sasa wakati watu hawatekwi? Isitoshe hilo tawi jipya la ccm litapata ugumu gani kusimama?
 
Pokeeni pongezi zangu za dhati kwanza kwa kuwaza na kuamua kutengeneza chama chenye mlengo na falsafa anuia za Hayati na Kipenzi chetu Dr. Magufuli. Hakika mmefanya jambo kubwa nala kutukuka sana.

Pamoja na pongezi zangu nyingi napenda kuwatahadharisha na kuwaasa kuwa makini sana kwa kila hatua mnayoiendea kwa maana dhamana na imani ya watanzania inakwenda kuwekwa juu yenu. Ni ombi langu kwenu kuwa na dhamiri ile ile ya upendo kwa Tanzania na watu wake huku mkijibidiisha kwa kila namna kuhakikisha Tanzania inapata viongozi wenye kiu na dhamira ya kweli kufikia maono makubwa ya kipenzi chetu Magufuli.

Ni vizuri kufahamu ya kuwa Tanzania ya sasa haina upungufu wa vyama vya siasa au sera nzuri za uendeshaji wa nchi. Hivyo ni budi kwenu kuyasoma na kuyapatia ufumbuzi yote ambayo ni maidhafu ya vyama vya siasa vilivyopo sasa ambavyo vimeshindwa kuonesha dira ya kweli ya Taifa letu kwa miaka 50 hadi 100 ijayo. Magufuli aliipenda Tanzania na kuchukizwa kabisa kwa maneno na vitendo na hali mbaya ya umaskini, ufisadi na dharau ya watawala/mabwenyenye waliojimilikisha nchi dhidi ya tabaka kubwa la watanzania wanyonge.

Ni ombi langu kwenu kutanguliza uzalendo na elimu ya kisiasa kwa watanzania wote wapate kufahamu dira, muelekeo na falsafa za chama. Katika hatua hizi za mwanzo ni muhimu sana kuhakikisha mnatengeneza misingi imara ya kitaasisi kwanza kwa kuhubiri na tena kuonesha kwa vitendo ili watanzania wayaamini hayo mnayapeleka kwao. Pasiwepo na hila midomoni mwenu tena Amani, Upendo,Haki na Mshikamano visipungue katika majukwaa yenu. Njoo na majibu ya namna ambavyo Tanzania itaweza kuendelea kiuchumi, kijamii na kisiasa. Ni muhimu sana kuzisema changamoto zote na kuueleza uma watanzania ni kwa njia gani tutafikia maendeleo ya kweli. Watafuteni wazee wazalendo wawapatie hekima zao, wapongezeni wanaostahili pongezi, wakemeeni wanastahili makaripio.

Karibuni kwenye ulingo wa siasa za Tanzania, karibuni kwenye figisu za CCM, karibuni kwenye hila za CHADEMA, karibuni kwenye kichaka cha wahuni na watakatishaji wa udhalimu.

Umoja ni nguvu, Umoja ni Ushindi, Umoja ni Maendeleo.
Mungu ibaliki umoja party mpaka ifike tunapotaka.
 
Ndio maana akamteua Anna Mgwira kuwa mkuu wa mkoa...
Pamoja na wote waliounga juhudi walio ona mwanga.
Hakuwa na hiyana kwa wajing na wapumbavu kama wewe aliwapa makavu
kwa kuwa ni wapumbavu mlimchukia, welevu waliuona mwanga wakabadili njia zao.
Mwambie ukweli mpumbavu atakuchukia, lakini mwerevu atakuheshimu.
Mpumbavu ni huyo kichaa wenu mnayemuabudu, aliyedhani kuongoza nchi ni manguvu ya kuua na kuteka, aliyedharau Covid ikamuondoa pamoja na washirika wake
 
Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm lakini yameshindwa kutimia, mpaka dhalimu ikabidi atumie mabavu ya wazi, na uporaji wa uchaguzi ili kuiua cdm. Mkitaka kujua wananchi wanajitambua, hii ccm academia ianze muone kama itavutia watu. Ccm ilifanikiwa kupandikiza vyama mamluki watu wakiwa wamelala, ila sio Sasa.
Kamanda mbona muoga na mchambaji hivyo?!!!! We ni kamanda au mtu uliyekimbia mafunzo ya jkt wiki moja ya Kwanza Tu?!! Hv CDM ipi iliyo hai Kwa sasa?!!!! Hilo moja, pili ni CDM ipi ya kuistua ccm Kwa sasa?!!! Hii ya kina mnyika?!!!!!!
 
Nimecheka, kwani Magufuli aliwahi kutegemea kura?
Ndugu kwani wewe hofu yako ni ipi ilihali unasema UP haina madhara yeyote kwa chama chenu?
 
Ndugu,
Ukiamua kuwa huru na mawazo yako utamuona Magufuli katika picha nyingi sana. Kimoja ambacho wote tunakubaliana ni kuwa Magufuli alikua mzalendo na mwenye upendo wa dhati kwa Tanzania. Alihubiri Tanzania yenye maendeleo na aliamini katika watanzania hivyo alipandikiza mbegu ya ujasiri na uzalendo kwetu wote. Sisi tuliobaki tumejifunza mengi na tunaanzia hapo kuhakikisha kweli tunaisimamisha Tanzania ya mfano na mkombozi wa bara la Africa

Alikuwa na kipaji cha uongo, na mwingi wa jazba pindi anachoamini kikikosolewa.
 
Kamanda mbona muoga na mchambaji hivyo?!!!! We ni kamanda au mtu uliyekimbia mafunzo ya jkt wiki moja ya Kwanza Tu?!! Hv CDM ipi iliyo hai Kwa sasa?!!!! Hilo moja, pili ni CDM ipi ya kuistua ccm Kwa sasa?!!! Hii ya kina mnyika?!!!!!!

Hakuna kitu kinaitwa ccm kwa sasa, bali kuna vyombo vya dola vilivyovyaa koti la chama cha siasa. Cdm sio cha cha kijeshi ndio maana hakiwezi kupambana na vyombo vya dola. Ishauri ccm ijitoe kwenye mbawa za vyombo vya dola ije tuifurajishe kwenye siasa.
 
Back
Top Bottom