Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Nimesoma kidogo sijaona ulipoomba afu 15 ya kusukia. Itakua ndio sababu umeipata ndoa.

Pia wakati mwingine jitahidi hata kaparagraph kamoja kupongeza Serikali ya Mama.
hey, napenda kua natural, halafu nina asili flani ya nywele bila hizo za kuunga zinaenda poa sana yan za mkono tu haizid hata elf tano na nilikua nasuka kwa hela zanguniliwah kuomba nauli tulishakua deep and madly in love sio kuwa sikua nashindwa kuomba hela lakini mtu ndio anajikusanya hata maisha yake hayakua vizur lakini nilipenda spirit yake ya kutafuta nikasema sasa hata nikimuomba hela s namuongezea majukum
 
Story yako mwanzon inafana Na yangu...tulikutana kanisan Ibada ilivoisha kwenye kusalimiana....the way alivokua ananiangalia while tunaongea made me fall in love with him hata siku alivokuja kunifungukia sikupoteza muda Kesho yake nilimpa jibu la yes
Ndo huyo ambaye amekuacha juzi hapa ๐Ÿค”
 
Seen.
 
Seen
 
Hapo Kwenye kununa wanaume Tunateseka Unakuta Mtu Ananuna tuu Na Kazi Hupewi Daah Basi Inabidi Ubembeleze Sanaa Ndio Mambo yanakaa Sawa Na Kazi Unapewa Ila Kweli Bible Haisemi Uongo Kwamba ISHINI NA WAKE ZENU KWA AKILI HAPO NI KWELI
Mwee mnawadekeza wake zenu....yaani jitu nalilisha nalivalisha lininunie,, alooh. Atanunaa mpaka kufa kwake.
 
Mwee mnawadekeza wake zenu....yaani jitu nalilisha nalivalisha lininunie,, alooh. Atanunaa mpaka kufa kwake.
mkioana sio kua kuishi kwa mahaba ndio basi tena, kuna mahaba na mawaa upo baba weee huwezi achia wenzio,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ