Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Usioe mzabzab
Mwanaume ndio kichwa Cha nyumba imagine. Mkeo akinuna na wew umenuna si mtachekesha 😂😂😂
Hapo Kwenye kununa wanaume Tunateseka Unakuta Mtu Ananuna tuu Na Kazi Hupewi Daah Basi Inabidi Ubembeleze Sanaa Ndio Mambo yanakaa Sawa Na Kazi Unapewa Ila Kweli Bible Haisemi Uongo Kwamba ISHINI NA WAKE ZENU KWA AKILI HAPO NI KWELI
 
Hapo Kwenye kununa wanaume Tunateseka Unakuta Mtu Ananuna tuu Na Kazi Hupewi Daah Basi Inabidi Ubembeleze Sanaa Ndio Mambo yanakaa Sawa Na Kazi Unapewa Ila Kweli Bible Haisemi Uongo Kwamba ISHINI NA WAKE ZENU KWA AKILI HAPO NI KWELI
sasa usipombembeleza wewe akafanye nni hio kazi? a shoulder to cry on its a dick to ride on chukua hio.
 
Aaliyyah mwanaume umtakae ndo sisi, tatizo vigezo unaweka vingi. Other things will work out in the relationship process.Just be open on what U want and what U dont and Address It then trust the process So that U Bond

Ila kupata qualities zote unazozitaka, mpaka uanzishe audition au interview
 
Na mimi ni aina ya mwanaume mwema, ila nimekuwa mistreated sanaaaaa kiasi kwamba naanza kuwa shetani na kuwa katili.
 
Sio lazma wewe uwe unapiga nyeto, ila nawaza tu, kwa mwanamke mwenye muonekano hata wa wastani tu anakuwa ana sex options nyingi, wanaume wote hawa waliojaa mtaani, mtandaoni mdada ukipost picha fb, insta wanaume watakuja dm, huku jf nako ukiwa na Id ya kike wanaume tele huko dm, inakuaje mdada anaishia kula nyeto 🤔 ephen_
Kwanini wanaume mnapifa puchu na wanawake wamejaa
 
Kwanini wanaume mnapifa puchu na wanawake wamejaa
Cha kwanza ni mazingira; unaweza Kuta upo shule za boarding zile za wanaume tupu hapo lazima utajilipua, unaweza kwenda mazingira ya ugenini huelewi mifumo lazima utaingia kambani

Uchumi; Kuna kipindi huelewi mfukoni una 3500 tu hapo hapo ubalance kuanzia nauli mpaka msosi 😂ukiwa huna Hela hata wale dadaz unaona kama hii kazi ni underdog kwangu haikubless.

Mazoea; Kuna muda sio kwamba hata una upwiru bas tu inatokea unaenda kuoga vizuri unashangaa umeshajilipua ukimaliza unajisemea "wallahi hii ya mwisho"
 
Na mimi ni aina ya mwanaume mwema, ila nimekuwa mistreated sanaaaaa kiasi kwamba naanza kuwa shetani na kuwa katili.
sote tu watu wema, tatizo hua tunashikilia vitu moyon once ukikubali khsamehe unaweza kuanza upya, ukiweza kuchukulia maisha kwa namna ambayo hutataka jambo lolote likuaffect kwa namna yoyote ile tayar you are one step ahead, ukikosewa samehe,kubali umeamua kusamehe maisha yaende ts you either uamue kuendelea naye au kuachana naye mkaishi kwa mipaka
 
Aaliyyah mwanaume umtakae ndo sisi, tatizo vigezo unaweka vingi. Other things will work out in the relationship process.Just be open on what U want and what U dont and Address It then trust the process So that U Bond

Ila kupata qualities zote unazozitaka, mpaka uanzishe audition au interview
aungamanishe akili yake na moyo wake pia
 
Cha kwanza ni mazingira; unaweza Kuta upo shule za boarding zile za wanaume tupu hapo lazima utajilipua, unaweza kwenda mazingira ya ugenini huelewi mifumo lazima utaingia kambani

Uchumi; Kuna kipindi huelewi mfukoni una 3500 tu hapo hapo ubalance kuanzia nauli mpaka msosi 😂ukiwa huna Hela hata wale dadaz unaona kama hii kazi ni underdog kwangu haikubless.

Mazoea; Kuna muda sio kwamba hata una upwiru bas tu inatokea unaenda kuoga vizuri unashangaa umeshajilipua ukimaliza unajisemea "wallahi hii ya mwisho"
Kumbe points ni zilezile hata kwetu
Uchumi, Mazingira, mazoea
 
Aaliyyah mwanaume umtakae ndo sisi, tatizo vigezo unaweka vingi. Other things will work out in the relationship process.Just be open on what U want and what U dont and Address It then trust the process So that U Bond

Ila kupata qualities zote unazozitaka, mpaka uanzishe audition au interview
Hapana sio qualities but Kila mtu anandotozake Zaid ni upendo na maelewano

Namuona mdada ana ndoa but kilasiku analala na wanaume wapya
Kuna mwingine mumew asipokiwepo anamuita msen*** maana yake hawana maelewano had wanapachikana majina ya matusi
Imagine how nisichague fungu jema litalonipa amani kwenye maisha
Mwanaume akiwa na huruma ananivutia mno sababu mm pia Niko hivo so Huwa tunabond
Sasa shida ndo Huwa hapo lazima dini zitofautiane
 
Story yako mwanzon inafana Na yangu...tulikutana kanisan Ibada ilivoisha kwenye kusalimiana....the way alivokua ananiangalia while tunaongea made me fall in love with him hata siku alivokuja kunifungukia sikupoteza muda Kesho yake nilimpa jibu la yes
Ulimpa jibu la yes au ulimpa mbususu?
 
sote tu watu wema, tatizo hua tunashikilia vitu moyon once ukikubali khsamehe unaweza kuanza upya, ukiweza kuchukulia maisha kwa namna ambayo hutataka jambo lolote likuaffect kwa namna yoyote ile tayar you are one step ahead, ukikosewa samehe,kubali umeamua kusamehe maisha yaende ts you either uamue kuendelea naye au kuachana naye mkaishi kwa mipaka
Ila kuna aina ya ugumu kidogo mtu unakuwa naonl, unakuwa sio yule wa mwanzo mpaka ichukue muda uone kweli huyu niliye nae upendonwake si wa uongo 😊
 
Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano thabiti

Fast forward hiki kisa kinanihusu mm japo kuna vitu sitaexpose sana na 95% kinanihusu mwenyewe.

Ilitokea siku moja nimekwenda mkoa fulani kwa ajili ya likizo, ni mwishoni mwa mwaka 2009, sjui nisemeje lakini sehemu niliokwenda nikakutana na huyu mwanaume ile kumuona tu kwa mara ya kwanza kuna kitu nikahisi hakiko sawa kwenye nafsi yangu na mwili wangu, nilikua natamani kumuona yan nimuone apite tu roho yangu iridhike, niko radhi khjitumisha dukan bila sababu ya msingi ili mradi tu nimuone na ilikua tukionana tu lazima atabasam bas mm mwenzie nakua hoi sijiwez.

Nikajikaza mtoto wakike nisonekane dhaifu tenambele ya stranger,lakini tukionana lazima tupeane eye contact halafu aniachie zawadi ya tabasam lake, bas nahisi hata yeye alikua amenielewa na hapo mwenyewe sio kua nilikua virgin siku mingi ilishakwenda hivi,nilishajua mapenzi n nn yanaumaje japo sio kiviiile lakini hizo exprience tayar nilishakua nazo so hakikua kitu geni then boom moyo unamuangukia mtu hata sjawah kujua ningekuja kukutana naye,bas mimi hapo kumbuka niko likizo ugenini,

Mungu sio athumani akanipa sound unaitwa nani nikamjibu, mimi sitaki kujua yeye anaitwa nani anafanya nn anaishi wapi eneo hilo mana tunaonana tu nyumba yetu ilikua barabarani so watu wengi hupita na movements n nyingi na maduka mengi hupatikana eneo hilo karibu na kwetu, hii siku sitaisahau mimi sina subiri nikufikirie sijui kuchelewesha wakat mtu ninayemwelewa ninaye mbele ya macho yangu.

Nikatabasamu akamwaga vyombo mimi nimetokea kukupenda sana nimeona leo nikuambie tu kilichopo moyoni, mimi meno yote niliyobarikiwa nje nikamkubalia nikaondokanzangu kurud nyumbani, sasa baada ya kurud nyumban ndio akili inarudi mahali pake nikaanza kujiuliza hivi mm n mzima au kitu gani, huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?

Sijui anaishi wapi sjui chochote kumhusu nimeanza lini kua mwehu wa kuhangaika na mapenzi? nimesahau kilichotokea nyuma? mimi ni mtu hua napenda kusema na nafsi yangu unaweza sema niko kimya kumbe nina kikao kizito cha kunihusu, bas najiuliza hayo huku majibu hutoka papo kwa papo, mpe muda utamjua, huwez jua watu hawafanani, lakini unakiri moyoni mwako unampenda s unajiona unavyobehave juu yake, kubali unampenda, mengine utayajua taratibuu!!


itaendelea.
Mbona una vinasaba vya umerlayer? Kwa maelezo yako ulitolewa bikra ukiwa na umri gani? Kweli bora kuoa alie bikra tu
 
Mbona una vinasaba vya umerlayer? Kwa maelezo yako ulitolewa bikra ukiwa na umri gani? Kweli bora kuoa alie bikra tu
punguza makasiriko best hayakusaidii ukishajua unataka uweke kwneye takwimu za taifa?? mimi nikiwa malaya wewe unapungukiwa nn si uangalie maisha yako!!
 
Back
Top Bottom