Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Mwanaume Cha kwanza uwezo wa kufikiri uwe juu kuliko mwanamke wako
Siwez kuwa na mwanaume hajui anatak nn kwenye maisha hivi unaweza kumruhusu dadaako aolewe na mwanaume hata akiwa anaumwa hamjulii hata hali huyo mwanaume atakuwa na uwezo wa kumtunza huyo mke
Upendo na huruma ndio best thing kwenye relation ship
Yes uko sahihi Nasemea Mume Au Mke Anaonekana wazi tuu wala hajifichi
 
Kwa kweli Kam ilikuwa ni lazima nipigie kwakweli sahiz naona wananionea Sasa 😀
Maana hadi inanishangaza hata mm mwenyew
Ngoja tuone kilakitu kina Mungu
inaumiza mm nilikua msiri sana, sipeleki mtu nyumbani kama sina uhakika naye nilishapeleka wawili mmoja ni huyu mwengine alikuja katikat kabla huyu hajarud na hakurudi sasa mama akahisi mm nimemfurusha kumbe aliamua tu kuniacha hewani nielee
 
Kama ulikuwa unampenda tangu zamani kukubali hapohapo ni kosa😃
hahahah mimi sikutaka kumchelewesha ya nn wakat moyo unajua unachikitaka? sio kosa wala nn wewe ukiona umemuelewa akikutongoza kubali
 
inaumiza mm nilikua msiri sana, sipeleki mtu nyumbani kama sina uhakika naye nilishapeleka wawili mmoja ni huyu mwengine alikuja katikat kabla huyu hajarud na hakurudi sasa mama akahisi mm nimemfurusha kumbe aliamua tu kuniacha hewani nielee
Mimi ninabahat mbaya wenyew ndio hulazimisha
Hii ya mwisho ni miak naikwepa nikasema hebu niache tu Weee😀😀
 
Mimi ninabahat mbaya wenyew ndio hulazimisha
Hii ya mwisho ni miak naikwepa nikasema hebu niache tu Weee😀😀
niliwah kuomba nipate kaz skuomba kazi yenye heri n mm nilitaka kaz nikaja kupata kaz ilikua sio kazi ni balaa niliacha sikuweza nikagundua nineomba kazi sio kazi yenye heri ambayo itanifaa
 
niliwah kuomba nipate kaz skuomba kazi yenye heri n mm nilitaka kaz nikaja kupata kaz ilikua sio kazi ni balaa niliacha sikuweza nikagundua nineomba kazi sio kazi yenye heri ambayo itanifaa
Una Imani sana mm Huwa naomba na nikijibiwa Huwa nashukuru sana haya matatizo hunikuta wakat nimeahatoa na shukrani kabisa ndio maana Huwa magumu kuyakwepa had yaniumize sababu huwa naamini nilichopewa ndio nilichoomba
 
Mwanaume Cha kwanza uwezo wa kufikiri uwe juu kuliko mwanamke wako
Siwez kuwa na mwanaume hajui anatak nn kwenye maisha hivi unaweza kumruhusu dadaako aolewe na mwanaume hata akiwa anaumwa hamjulii hata hali huyo mwanaume atakuwa na uwezo wa kumtunza huyo mke
Upendo na huruma ndio best thing kwenye relation ship
Kwa hiyo sie wenye akili za kutuwezesha kuvuka barabara salama mnatushauri tusioe au sio
 
Back
Top Bottom