Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Kama unaweza kumpenda mtu bila sababu basi unaweza kumchukia bila sababu.

Chuki ndo chanzo cha migogoro. Hapo kuna mmoja kafanya juhudi ya kesho yenu. Mwingine anafanya juhudi ya jana yenu.
mkuu, maisha ndio haya haya kama circle fulani hivi, ukitendwa samehe chia moyo songa mbele, akija mwengine mpe nafas ona ana impact gan ataleta kwako akishindwa mwache aende usieke kinyongo usimchukie mtu bora ukafanya mmbo yanayokupa furaha, mimi nilikua napenda sana outing za weekend na relax sometimes natoka na bestie sometimes alone sometimes na stranger tulikutana naye on the mean time sijali hata kuhusu kipi ninepitia naamini kuna namna nilitakiwa kupitia hayo nijifunze jambo
 
my dear, i can not pick a random guy huko mtaani aje anitimizie my sexual desires and fantasies, kwangu mimi sex is all about mind and feelings unanielewa?? na hadnikuvulie chupi una bahat lol!!
 
Mtupe mbinu za kuchagua aisee
Nawish kuwa na ndoa yenye amani hata nikiangalia rafikizangu na ndoa zao hazitii moyo ukiangalia vijana wa kiume wengi ni wajinga na utoto kibao
jaribu kumshirikisha Mungu waimani yako, sali mwambie akupe yule mtu unayemtaka mpe na sifa, tenakwa imani, kuna muda huo tuliotengana nilikua naomba sana Mungu nimpate wa kufanana naye au kama ameniandikia yeye amlete nimechoka na hawa mazombi ninaokutananao,
 
jaribu kumshirikisha Mungu waimani yako, sali mwambie akupe yule mtu unayemtaka mpe na sifa, tenakwa imani, kuna muda huo tuliotengana nilikua naomba sana Mungu nimpate wa kufanana naye au kama ameniandikia yeye amlete nimechoka na hawa mazombi ninaokutananao,
Alhamdulillah naswali sana na Mungu ananipa hasa ninaoomba tumatch ila sijui why Huwa dini tofaut na wazazi wangu hawataki hata kusikia ilo suala
Zaid ya mara Tatu wanafukuza wachumba sabbu ya dini
 
Story yako mwanzon inafana Na yangu...tulikutana kanisan Ibada ilivoisha kwenye kusalimiana....the way alivokua ananiangalia while tunaongea made me fall in love with him hata siku alivokuja kunifungukia sikupoteza muda Kesho yake nilimpa jibu la yes
Kumbe nimejifunza wanawake wakuoa ni wale maharage ya mbeya...ukiona demu anakizungusha huyo hakupendi. Asante kwa funzo
 
Back
Top Bottom