Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

🎀 Hakuna sikuachi...
Namshukuru yule chinga alisema bro pama mali hili linaondoa aibu ..
Ukimaliza kulia ukije nikupe zawadi yako kabla haijayeyukaa ila usinivalie mpama wako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
we kijana una uhakika hujalewa πŸ™„πŸ™„
 
Safi vizuri Mama mwana

Lakin ulikosea sana kumwambia uliyopitia huko nyuma ya kunyanduana,sjui ulikuwa na lengo gani
 
Katika Dunia tunayoishi yenye majonzi mengi matukio mengi yenye maumivu.
Ukipata kuona story nzuri yenye Kukutia moyo kama hii! Ni furaha sana.

Nawaombea kwa Mungu azidi kuwajaza upendo,amani, mshikamano na umoja!

Mungu awabariki sana na kuwafanikisha mnoo!

I hope na Mimi siku moja nitaamini Tena katika ndoa na mapenzi
 
Huyo mumeo angejua km ulimcheat kwa kuanzisha husiano jipya na ukapata sugar daddy ukaenda nalo Zanzibar sidhani km angekuoa..!!! Bahati yako ulijificha hata watu wake wa karibu hawakujua..!!
 
Unaonekana bonge la pisi harafu una adabu fulani hivi yaani amazing............nimekupenda bure..............na ndoa yako idumu milele.....na mwisho nimependa hapo baby girl......ndio napenda mabinti yaani watoto wa kike .......kongole
 
Where sugar daddy gone.....

Naamini sa hv Sugar daddy atakuwa ameshastaafu unakula pensheni yake tu
thats another side of the story lakini niliamua kuacha kila kitu niliamua kumuacha kwa sababu hata shemei yako aliamua kuacha yake sababu yangu na mtu ambaye nikisema nyeupe ni nyeupe i dont know kama ni mzima au anaumwa au hata amefariki japo najua aapoishi lakini sikhwah jisumbua kumtafuta
 
Unaonekana bonge la pisi harafu una adabu fulani hivi yaani amazing............nimekupenda bure..............na ndoa yako idumu milele.....na mwisho nimependa hapo baby girl......ndio napenda mabinti yaani watoto wa kike .......kongole
amina amina lol ntakupa mmoja
 
Ili story iwe ya haki. Tunaomba tuelezwe mahusiano yako na Sugar dady in details
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ˆπŸ™ˆ umbea tu sjui yuko wapi sjui ananitafuta au amemute, nilikutana sehem najitolea,baada ya kuona mambo ya ndoa yamekaa hivi nikaona siwez ingia kwenye ndoa nina makando kando nilibadili line ya simu, nilianza upya niliangalia moja tu ndoa.
 
Huyo mumeo angejua km ulimcheat kwa kuanzisha husiano jipya na ukapata sugar daddy ukaenda nalo Zanzibar sidhani km angekuoa..!!! Bahati yako ulijificha hata watu wake wa karibu hawakujua..!!
mamii huwez amini kuna vingi sjaelezea familia yake haielewi hata maisha yetutunaishije, hatujaruhusu mashabiki watuingilie mwishowe waanze wao kupanga kikosi, tunapambna wenyewe, hiyo siku tuliamua kuacha ya nyuma yote, unadhani hajui kama sikua na mahusiano? had mtu anakuambia ni bora nimekukuta hujaolewa hiyo ndio ilikua presha yake ni bora nipate haramia kuliko aniwek ndani mazima
 
nakuombea ikawe hivyo, achilia moyo usiukaze sana, amini kuna seco
nd chances, samehe usihesabu makosa, kubali kuanza upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…