Strong Durable
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 474
- 700
Yes uko sahihi Nasemea Mume Au Mke Anaonekana wazi tuu wala hajifichiMwanaume Cha kwanza uwezo wa kufikiri uwe juu kuliko mwanamke wako
Siwez kuwa na mwanaume hajui anatak nn kwenye maisha hivi unaweza kumruhusu dadaako aolewe na mwanaume hata akiwa anaumwa hamjulii hata hali huyo mwanaume atakuwa na uwezo wa kumtunza huyo mke
Upendo na huruma ndio best thing kwenye relation ship
Kama ulikuwa unampenda tangu zamani kukubali hapohapo ni kosaπukitongozwa hapohapo umekubali mahusiano yameanza haina ngoja ngoja naogopa
Exactly π―Yes uko sahihi Nasemea Mume Au Mke Anaonekana wazi tuu wala hajifichi
ThanksExactly π―
inaumiza mm nilikua msiri sana, sipeleki mtu nyumbani kama sina uhakika naye nilishapeleka wawili mmoja ni huyu mwengine alikuja katikat kabla huyu hajarud na hakurudi sasa mama akahisi mm nimemfurusha kumbe aliamua tu kuniacha hewani nieleeKwa kweli Kam ilikuwa ni lazima nipigie kwakweli sahiz naona wananionea Sasa π
Maana hadi inanishangaza hata mm mwenyew
Ngoja tuone kilakitu kina Mungu
Wala kuwa Na sura nzuriiongezea hapo ajengeke kiume mwanaume hatakiwa kuwa soft
hahahah mimi sikutaka kumchelewesha ya nn wakat moyo unajua unachikitaka? sio kosa wala nn wewe ukiona umemuelewa akikutongoza kubaliKama ulikuwa unampenda tangu zamani kukubali hapohapo ni kosaπ
hahaha hili wengi hawatakuelewa lakini mm nakuelewaWala kuwa Na sura nzurii
Mimi ninabahat mbaya wenyew ndio hulazimishainaumiza mm nilikua msiri sana, sipeleki mtu nyumbani kama sina uhakika naye nilishapeleka wawili mmoja ni huyu mwengine alikuja katikat kabla huyu hajarud na hakurudi sasa mama akahisi mm nimemfurusha kumbe aliamua tu kuniacha hewani nielee
niliwah kuomba nipate kaz skuomba kazi yenye heri n mm nilitaka kaz nikaja kupata kaz ilikua sio kazi ni balaa niliacha sikuweza nikagundua nineomba kazi sio kazi yenye heri ambayo itanifaaMimi ninabahat mbaya wenyew ndio hulazimisha
Hii ya mwisho ni miak naikwepa nikasema hebu niache tu Weeeππ
Una Imani sana mm Huwa naomba na nikijibiwa Huwa nashukuru sana haya matatizo hunikuta wakat nimeahatoa na shukrani kabisa ndio maana Huwa magumu kuyakwepa had yaniumize sababu huwa naamini nilichopewa ndio nilichoombaniliwah kuomba nipate kaz skuomba kazi yenye heri n mm nilitaka kaz nikaja kupata kaz ilikua sio kazi ni balaa niliacha sikuweza nikagundua nineomba kazi sio kazi yenye heri ambayo itanifaa
π€©π€©hahaha hili wengi hawatakuelewa lakini mm nakuelewa
Ndiyo njoo unipe dawauna kichaa??
Wala kuwa Na sura nzurii
Pole MamaMimi ninabahat mbaya wenyew ndio hulazimisha
Hii ya mwisho ni miak naikwepa nikasema hebu niache tu Weeeππ
Nimepoa maisha lazima yaendeleePole Mama
Hao ni gusa achia twende ndoaniMaharage YA mbeya ndo huwa wakoje mkuu
Exactly 100Nimepoa maisha lazima yaendelee
Kwa hiyo sie wenye akili za kutuwezesha kuvuka barabara salama mnatushauri tusioe au sioMwanaume Cha kwanza uwezo wa kufikiri uwe juu kuliko mwanamke wako
Siwez kuwa na mwanaume hajui anatak nn kwenye maisha hivi unaweza kumruhusu dadaako aolewe na mwanaume hata akiwa anaumwa hamjulii hata hali huyo mwanaume atakuwa na uwezo wa kumtunza huyo mke
Upendo na huruma ndio best thing kwenye relation ship
Usioe mzabzabKwa hiyo sie wenye akili za kutuwezesha kuvuka barabara salama mnatushauri tusioe au sio
Kweli mie wacha nitulie zangu na mlenda vugu vugu. Ndoa sitawezaUsioe mzabzab
Mwanaume ndio kichwa Cha nyumba imagine. Mkeo akinuna na wew umenuna si mtachekesha πππ