Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Simulizi nzuri, sana.


MUNGU awabiriki katikq maisha yenu ya ndoa.
 
Inataka moyo kushinda huo mtihani hasa uwe na mtu anaekupenda na kukuelewa nafikiria mapito ya shida na maradhi Kuna kipind nilipitia huyohuyo ndo alisimama na mm
Kumtenga kisa dini najiona katili sana
Mungu anisaidie
Dini hizi hizi zilizoletwa na wakoloni karne ya 19?
 
Hapa ndipo wengi wanapoharibu wakifika hatua hii wanaanza kuyakoroga hapa wanaanza kuwabebesha watu majukumu ya kingesengese sijui kusuka sijui ushubwada gani, kwani wewe kabla yangu hela ya kusukia ulikua unatoa wapi? Oh gesi imeisha luku imeisha wewe kabla yangu ulikua unatoa wapi hela?

Hizi ni dalili za kwanza kua huyu mtu ni mswahili.

Mwanaume unae jitambua, niku muignore mapema, ndo hao wanajibebesha mimba bila ridhaa wala mipango na Me
 
Back
Top Bottom