ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Bora nirudi kwa wazazi wangu wanifunze upyaIle story yako umeendeleza chapter eight? Nitag nimesahau jina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora nirudi kwa wazazi wangu wanifunze upyaIle story yako umeendeleza chapter eight? Nitag nimesahau jina
hehehe tumia paracaletamol three times a day kupunguza maumivu.Upumbavu tu
hope you are not serious coz siko kwenye mood ya kukutukanaMbususu je?
and vice versa 🤗🤗 asanteSema mwanamke akikuoenda bhna Raha sana wala hutumii nguvu,
Hongereni sana mnaopendwa na wanawake zenu Muwatunze
Wee nitukane tuu mzabzab hajawahi kasirika kisa matusi ya jfhope you are not serious coz siko kwenye mood ya kukutukana
Sawa, kipenzi usiwazeOoh inabidi nitulie nisome,. Wacha niswampe nayo weekend hii
Nitag na zingine za mwachuluwi
Sema kweli wewe, nianze kufarakatiaHumu wanawake ndio wanahonga wanaume
Kweli kuna kadada kanajiona humu yeyendio yeye ila saivi na makarabasha yake full kanawahonga wanaume ,mara simu mara pesa mara mitoko halafu humu kanapondea wenzake humu na huku kanaliwa pesa mwanzo mwishoSema kweli wewe, nianze kufarakatia
Mpe basi mtoto aitwe babaOoh inabidi nitulie nisome,. Wacha niswampe nayo weekend hii
Nitag na zingine za mwachuluwi
Weee sema kweli,.Mpe basi mtoto aitwe baba
Ile i’d ya Unique Flower ni yako?,. Naona miandiko yenu inafananaNiambie babe
Eh kumbe unanisuta tena kha ngoja nikafute ile ya babeIle i’d ya Unique Flower ni yako?,. Naona miandiko yenu inafanana
Basi nishajua,. Nilikutumiaga ujumbe kwenye ile iD nliona kimya hujanijibu ndio maana nikakuuliza kama ni weweEh kumbe unanisuta tena kha ngoja nikafute ile ya babe
Dini hizi hizi zilizoletwa na wakoloni karne ya 19?Inataka moyo kushinda huo mtihani hasa uwe na mtu anaekupenda na kukuelewa nafikiria mapito ya shida na maradhi Kuna kipind nilipitia huyohuyo ndo alisimama na mm
Kumtenga kisa dini najiona katili sana
Mungu anisaidie
Bwana wake na hawajafunga ndoa ?Mwaminifu kiaje ameisha kuambia alikuwa sio bikra na bado akachepuka na wanaume kadhaa akiwemo sugar daddy kipindi bwana wake yupo nje
Hapa ndipo wengi wanapoharibu wakifika hatua hii wanaanza kuyakoroga hapa wanaanza kuwabebesha watu majukumu ya kingesengese sijui kusuka sijui ushubwada gani, kwani wewe kabla yangu hela ya kusukia ulikua unatoa wapi? Oh gesi imeisha luku imeisha wewe kabla yangu ulikua unatoa wapi hela?