Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Acha bla blaSidhani kama utakuwa umesoma Biblia yote. Na hata kama umeisoma, sidhani kama umeisoma vizuri. Na hata kama umeisoma vizuri, sidhani kama uliielewa...
Umeeleeza vema sana mkuu.Hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu.
Samson aliendelea kuwa mnadhiri wa Mungu hata baada ya kuzini na malaya. Nadhiri yake iliondoka baada ya kutaja asili ya nguvu zake.
Ni mke wa uzinzi wa Daud (siyo wake zake wa mwanzo) ndiye aliyemzaa Suleman.
Ni mke wa kurithi (siyo wake zake wa mwanzo) wa Boaz ndiye aliyemzaa Yese Baba yake Daud.
Suleman aliomba hekima ya kuwaongoza watu wake kwa haki. Naye Mungu akamjalia hekima, na utajiri pamoja na wake na watoto wengi (je, wake wengi ni baraka au zawadi?).
Wale wasimamao madhabahuni na milangoni mwa hekalu, wao na watoto wao, hawaruhusiwi kufanya ukahaba (je, wengine wanaruhusiwa?).
Ndoa haikuzungumziwa ktk agano jipya bali la kale. Katika agano la kale kuna ndoa tatu kwa kadiri ya torati:
1) Mke mmoja mme mmoja
2) Mme mmoja wake wengi
3) Ndoa ya kubaka. Ukimbaka msichana, mwanaume unaadhibiwa halafu uliyembaka anakuwa mke wako
Kwa kadiri ya biblia, ndoa ni nini? Ni tendo la ndoa, ni hati ya makubaliano au kiapo?
Mwisho wa yote, kumbukeni Mungu hupendezwa na wanyenyekevu kuliko wanaojihesabia haki hata kama matendo yao ni mema. Ndoa ni muhimu lakini siyo hitajio la kuingia mbinguni.
Mitume waliacha wake zao, wakaenda kulitangaza neno la Mungu. Kama ndoa ilikuwa ni muhimu kiasi tudhaniavyo, kwa nini Mungu aliruhusu mitume waache wake zao? Ndoa ni hitajio la Dunia, katika ufalme wa Mungu hakuna ndoa kati ya mwanadamu na mwanadamu bali kati ya Mungu na wanadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa swaliHua mnasoma biblia za wapi ndugu zangu?
Wakorintho wa kwanza 7:1-4 inasema hivi
1. Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse mwanamke
2. lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
3. Mume na ampe mke wake haki yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.
4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo; vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo
UHURU JR nimekuelewa vizuri ila kukujibu swali lako litadiverge lengo la mada...jus be patient tutafika huko.Mi sitaki kwenda huko unapotaka,we umesema uzito hauonekani kwa macho hivyo maana yake kuna kuona tofauti na kutumia macho na ndiyo maana nikasema mie sijakusudia kuona kwa kutumia macho na nikafafanua nilichokusudia.
Mkuu ni mpagani? Kusoma biblia haitoshi, sharti utafakari neno la Mungu Mchana na Usiku; Kwa watu wanomjua Mungu katika biblia hakuna kitu kama Rai yake kama ambavyo umesema. As long as imetolewa na mtumish wa Mungu Paulo au uamini au Usiamini ila sio Rai yake tu, ni kitu ambacho binafsi naweza sema kimetoka kwa Mungu mwenyewe, ila paulo akakisema.Na hilo aliloliongelea paulo ni rai yake si sheria.
kama umesoma vizur
Biblia Takatifu haijawahi kumruhusu Mwanamke kumuacha Mumewe kwakuwa tu Amezini ila Mungu ndiye atakayemwadhibu Mwanaume huyo.
Kama unapinga hili...LETE MISTARI YA BIBLIA.
Nimepena vinaSidhani kama utakuwa umesoma Biblia yote. Na hata kama umeisoma, sidhani kama umeisoma vizuri. Na hata kama umeisoma vizuri, sidhani kama uliielewa...
TALAKA NI NINI?Ninavyo jua
Kutokana na asili ya uumbaji ambao tumejikuta tu tumeumbwa hivyo,
Mwanamume ndiye anayemwoa mwanamke.
Mwanamme anaweza kuoa wanawake zaidi ya mmoja.
Hivyo mamlaka ya kutaliki anayo mwanamume kwani ndiye aliyeoa.
Sababu za kutaliki anazo mwanamme kwani ndiye aliyeoa.
Hapa mwanaume ni mtendaji (subject) na mwanamke ni mtendewa (object)
Mwanamke hana mamlaka wala sababu za kutaliki, (kutoa talaka)
Akiona ndoa imemshinda anamwomba mumewe ampe talaka.
Mme akikataa kutoa talaka, mke anaenda kuziomba mamlaka kama za dini mf. (kanisa mchungaji) au
Selikari (mahakama hakimu)
Ili zimshawishi au kumlazimisha mumewe atoe talaka.
Vitabu kalibu vyote vya dini vinampa mwanaume mamlaka na sababu za kuoa na kutaliki.
Hii inatokana na ukweli kuwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi, anajitambulisha kama Mwanaume.
Hivyo amemrithisha binadamu mwanamume nguvu ya kuitawala dunia pamoja na kumtawala Mwanamke.
Nawasilisha
Hizi zote ulizoandika tunaziita Mboyoyo....!Wanaoelewa vifungu vya biblia tayari wameshakuwekea.
Mungu si mjinga aruhusu Mke anung'unike moyoni kisa tu biblia inasema hawezi akamuacha mume ambae amezini nje ya ndoa. Mnatake advantage ya unyonge wa mwanamke ili tu kujustify tamaa zenu za mwili. Huyu Mungu ninayemwamini mimi sidhani kama ni katili kiasi hicho. Ingekuwa hivyo basi asingetuumba tuwe na wivu au hisia.
Mke avumilie uzinzi wa mume lakini yeye akishikwa na matamanio kwa mwanaume mwingine akatoka nje basi linakuwa kosa na anaadhibiwa kikatili.
Ni Mungu yupi huyo mnayemzungumzi??
Kama siku ya mwisho Mungu ataniadhibu kwa kutoshika mistari ya biblia na iwe hivyo. Lakini kwa sasa nitasimamia msimamo wangu kuwa. Ndoa ya kikristu ni mke mmoja na mume mmoja tu, amri ya uzinzi inawahusu wote wawili kwa uzito ule ule.
Ukichepuka acha kuhalalisha upuuzi wako.
WAPI ULIAMBIWA MUNGU ANA JINSIA!?Ninavyo jua
Kutokana na asili ya uumbaji ambao tumejikuta tu tumeumbwa hivyo,
Mwanamume ndiye anayemwoa mwanamke.
Mwanamme anaweza kuoa wanawake zaidi ya mmoja.
Hivyo mamlaka ya kutaliki anayo mwanamume kwani ndiye aliyeoa.
Sababu za kutaliki anazo mwanamme kwani ndiye aliyeoa.
Hapa mwanaume ni mtendaji (subject) na mwanamke ni mtendewa (object)
Mwanamke hana mamlaka wala sababu za kutaliki, (kutoa talaka)
Akiona ndoa imemshinda anamwomba mumewe ampe talaka.
Mme akikataa kutoa talaka, mke anaenda kuziomba mamlaka kama za dini mf. (kanisa mchungaji) au
Selikari (mahakama hakimu)
Ili zimshawishi au kumlazimisha mumewe atoe talaka.
Vitabu kalibu vyote vya dini vinampa mwanaume mamlaka na sababu za kuoa na kutaliki.
Hii inatokana na ukweli kuwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi, anajitambulisha kama Mwanaume.
Hivyo amemrithisha binadamu mwanamume nguvu ya kuitawala dunia pamoja na kumtawala Mwanamke.
Nawasilisha
Ni kweli kabisa.Ninavyo jua
Kutokana na asili ya uumbaji ambao tumejikuta tu tumeumbwa hivyo,
Mwanamume ndiye anayemwoa mwanamke.
Mwanamme anaweza kuoa wanawake zaidi ya mmoja.
Hivyo mamlaka ya kutaliki anayo mwanamume kwani ndiye aliyeoa.
Sababu za kutaliki anazo mwanamme kwani ndiye aliyeoa.
Hapa mwanaume ni mtendaji (subject) na mwanamke ni mtendewa (object)
Mwanamke hana mamlaka wala sababu za kutaliki, (kutoa talaka)
Akiona ndoa imemshinda anamwomba mumewe ampe talaka.
Mme akikataa kutoa talaka, mke anaenda kuziomba mamlaka kama za dini mf. (kanisa mchungaji) au
Selikari (mahakama hakimu)
Ili zimshawishi au kumlazimisha mumewe atoe talaka.
Vitabu kalibu vyote vya dini vinampa mwanaume mamlaka na sababu za kuoa na kutaliki.
Hii inatokana na ukweli kuwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi, anajitambulisha kama Mwanaume.
Hivyo amemrithisha binadamu mwanamume nguvu ya kuitawala dunia pamoja na kumtawala Mwanamke.
Nawasilisha
Jukwaa la dini wanaweza wakakusaidiaHizi zote ulizoandika tunaziita Mboyoyo....!
Naam... kwasababu ni mtazamo wako.
Mimi sijahitaji Mboyoyo...nimehitaji Mistari ya Biblia inayomuamuru Mwanamke kumuacha Mume wake kwa ajili ya uzinzi.
Ukute mwanaume mwenyewe wa DARWAPI ULIAMBIWA MUNGU ANA JINSIA!?
yani mnajiaminishaga vitu vya kiwehuuuu!
ETI MUNGU ANAJITAMBULISHA KAMA MWANAUME!