Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Wanaume tumeumbwa na matamanio makubwa sana hilo liko wazi ila sio kwamba tunashindwa kujizuia.
Acheni uzinzi mbona kuwa na mwanamke mmoja uliempenda ni bora pia ina faida nyingi kuliko kuchomeka chomeka.
Pia utaheshimika zaidi na jamii
Haya matamanio tuliyopewa ni kipimo cha uvumilivu wakiume kuweza kutulia kwa mkeo.
(Usiache hisia zikuendeshe maana siku zote utaishia kufeli "Farid Kubanda")
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni uzinzi mbona kuwa na mwanamke mmoja uliempenda ni bora pia ina faida nyingi kuliko kuchomeka chomeka.
Pia utaheshimika zaidi na jamii
Haya matamanio tuliyopewa ni kipimo cha uvumilivu wakiume kuweza kutulia kwa mkeo.
(Usiache hisia zikuendeshe maana siku zote utaishia kufeli "Farid Kubanda")
Sent using Jamii Forums mobile app