Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Mpaka leo kwasababu bado tupo kwenye mahusiano japo nilikuja kumuomba nioe japo alikataa sana hofu yake alijua nitapunguza mapenzi kwake nikamuomba sana baadae akaniruhusu japo kwa mashart fulani hivi ndipo nikaoa na siku ya ndoa alikuja akashiriki mwanzo mwisho🤣🤣🤣🤣 Aaah Kwa hiyo Hadi Leo anakuamkia?yaani mtu akishachungulia nyeti zangu walah siwezi mwamkia
Raha ya mshangazi ukulee totoo, yaani wewe kazi yako ni show tu
Mshangazi uliofulia wa kazi gani? Utakuambukiza stress bado kijana mdogo uzeeke kabla ya umri wako bure[emoji1787]
Sasa io apo ni extreme, binti ninaemzidi miaka 30 uyo si mwanangu, hapo binti si atakua amenipendea hela..Kuna binti kaolewa na mwanaume kamzidi 30 years okus kisa pesa.namuonea sana huruma maana mwanaume ni spina mkononi. Yaani ana stress kama zote. Sasa hivi anaanza kuona jamaa ni msumbufu.
Duh,penzi lenu nyie kibokooo. Hongereni sanaMpaka leo kwasababu bado tupo kwenye mahusiano japo nilikuja kumuomba nioe japo alikataa sana hofu yake alijua nitapunguza mapenzi kwake nikamuomba sana baadae akaniruhusu japo kwa mashart fulani hivi ndipo nikaoa na siku ya ndoa alikuja akashiriki mwanzo mwisho
Ha haaaa pwani wasema,Ashakum si matusinimecheka sana😂
hii ni tafsida ya hali ya juu
Kwenye io list yako watoe Uwoya, aunt Ezekiel, Snura, wolper, na shishi, hao hawana hela mkuu, unaeza kuta hata wewe umewazidi kiuchumi BeemindUmu hakuna wanamke wa45s! wanaojiweza kiuchumi? Hao wanaweza kutoa ukweli ila hawa wadada wa 30s na hasa 20+ hawawezi maana wengi bado wanajitafuta na waliojipata ni sababu wanategemea wanaume kujikwamua kiuchumi ila mwanamke alie jipata au anayejiweza kiuchumi bila kutegemea wanaume ni rahisi sana kumdate kijana alie mzidi umri hata kama ni maramoja kwenye maisha yake.
Iren uwoya
Mama dangote
Zari
Aunt
Madam rita
Wolper
Shishi
Annerlisa
Snura
Mama caira
Hao ni mifano tu ya wale maarufu ila bado wa kwenye maofisi na wajane wa mitaani uko.
Kwenye io list mtoe Snura, wolper, Aunt Ezekiel, Uwoya, shishi hao hawana hela, unaeza kuta hata wewe umewazidi kiuchumi BeemindUmu hakuna wanamke wa45s! wanaojiweza kiuchumi? Hao wanaweza kutoa ukweli ila hawa wadada wa 30s na hasa 20+ hawawezi maana wengi bado wanajitafuta na waliojipata ni sababu wanategemea wanaume kujikwamua kiuchumi ila mwanamke alie jipata au anayejiweza kiuchumi bila kutegemea wanaume ni rahisi sana kumdate kijana alie mzidi umri hata kama ni maramoja kwenye maisha yake.
Iren uwoya
Mama dangote
Zari
Aunt
Madam rita
Wolper
Shishi
Annerlisa
Snura
Mama caira
Hao ni mifano tu ya wale maarufu ila bado wa kwenye maofisi na wajane wa mitaani uko.
Waache hiyo tabia mara mojaYaani kaliniwazishaaaa🙆🙆
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu amepata shangazi anatafuta tu namna ya kujihalalisha[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa mfano Una wanaume wawili, wote ni matajiri, kimuonekano na kitabia wote wanavutia, Ila mmoja amekuzidi miaka 5, mwingine ni mdogo kwako umemzidi umri kwa miaka 5, wewe inatakiwa uchague mmoja aje akuoe, utamchukua yupi kati ya hao? Cute Wife
jirani ushakuja[emoji2][emoji2], unaendeleaje [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye io list yako watoe Uwoya, aunt Ezekiel, Snura, wolper, na shishi, hao hawana hela mkuu, unaeza kuta hata wewe umewazidi kiuchumi Beemind
Sema namkataaa🤣🤣🤣Jirani nimefika, siko powa kivile shemeji yako kasafiri na hili baridi sijui nitamshindwa shetani na mambo yake yote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wazee tayari wanakisukari kwahiyo hawahitaji tena sukari ndiyo maana anaenda moja tembo chalii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tusumbufu hutoo,tung'ang'anizi tukionja papuchi....siwataki hata kuwasikia[emoji849]
Utazeeka pia🤒[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wazee tayari wanakisukari kwahiyo hawahitaji tena sukari ndiyo maana anaenda moja tembo chalii
Itachukua miaka mingi kutoka sasa.... Tuishi wakati uliopo[emoji23]Utazeeka pia[emoji855]
🤣🤣🤣🤣Haya bhanaItachukua miaka mingi kutoka sasa.... Tuishi wakati uliopo[emoji23]