Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

🤣🤣🤣🤣 Aaah Kwa hiyo Hadi Leo anakuamkia?yaani mtu akishachungulia nyeti zangu walah siwezi mwamkia
Mpaka leo kwasababu bado tupo kwenye mahusiano japo nilikuja kumuomba nioe japo alikataa sana hofu yake alijua nitapunguza mapenzi kwake nikamuomba sana baadae akaniruhusu japo kwa mashart fulani hivi ndipo nikaoa na siku ya ndoa alikuja akashiriki mwanzo mwisho
 
Raha ya mshangazi ukulee totoo, yaani wewe kazi yako ni show tu

Mshangazi uliofulia wa kazi gani? Utakuambukiza stress bado kijana mdogo uzeeke kabla ya umri wako bure[emoji1787]

Ewaaaaa Wewe namimi tupo pamoja. Sitoki na mshangazi niliouzidi pesa!! Yani anizidi umri, dhambi, shida halafu nitoke nae? For what? Yani mshangazi hauna usafiri tutumie wangu, bills hauwezi kuclear hata kudonate robo unaniangalia Kama baba ake mzazi, I love to make my money loud, but not in company of broke cougars!!
 
Kuna binti kaolewa na mwanaume kamzidi 30 years okus kisa pesa.namuonea sana huruma maana mwanaume ni spina mkononi. Yaani ana stress kama zote. Sasa hivi anaanza kuona jamaa ni msumbufu.
Sasa io apo ni extreme, binti ninaemzidi miaka 30 uyo si mwanangu, hapo binti si atakua amenipendea hela..

Kuchapiwa kupo na hakuna formula, unaeza ukawa kijana Rijali ukachapiwa, au unaweza ukawa ni kijana wa miaka 25 ila nguvu za kiume huna, sasa kwenye bed wewe si sawa na mzee tu na utachapiwa Nashengena Mnachihanguuu
 
Umu hakuna wanamke wa45s! wanaojiweza kiuchumi? Hao wanaweza kutoa ukweli ila hawa wadada wa 30s na hasa 20+ hawawezi maana wengi bado wanajitafuta na waliojipata ni sababu wanategemea wanaume kujikwamua kiuchumi ila mwanamke alie jipata au anayejiweza kiuchumi bila kutegemea wanaume ni rahisi sana kumdate kijana alie mzidi umri hata kama ni maramoja kwenye maisha yake.

Iren uwoya
Mama dangote
Zari
Aunt
Madam rita
Wolper
Shishi
Annerlisa
Snura
Mama caira

Hao ni mifano tu ya wale maarufu ila bado wa kwenye maofisi na wajane wa mitaani uko.
 
Mpaka leo kwasababu bado tupo kwenye mahusiano japo nilikuja kumuomba nioe japo alikataa sana hofu yake alijua nitapunguza mapenzi kwake nikamuomba sana baadae akaniruhusu japo kwa mashart fulani hivi ndipo nikaoa na siku ya ndoa alikuja akashiriki mwanzo mwisho
Duh,penzi lenu nyie kibokooo. Hongereni sana
 
Umu hakuna wanamke wa45s! wanaojiweza kiuchumi? Hao wanaweza kutoa ukweli ila hawa wadada wa 30s na hasa 20+ hawawezi maana wengi bado wanajitafuta na waliojipata ni sababu wanategemea wanaume kujikwamua kiuchumi ila mwanamke alie jipata au anayejiweza kiuchumi bila kutegemea wanaume ni rahisi sana kumdate kijana alie mzidi umri hata kama ni maramoja kwenye maisha yake.

Iren uwoya
Mama dangote
Zari
Aunt
Madam rita
Wolper
Shishi
Annerlisa
Snura
Mama caira

Hao ni mifano tu ya wale maarufu ila bado wa kwenye maofisi na wajane wa mitaani uko.
Kwenye io list yako watoe Uwoya, aunt Ezekiel, Snura, wolper, na shishi, hao hawana hela mkuu, unaeza kuta hata wewe umewazidi kiuchumi Beemind
 
Umu hakuna wanamke wa45s! wanaojiweza kiuchumi? Hao wanaweza kutoa ukweli ila hawa wadada wa 30s na hasa 20+ hawawezi maana wengi bado wanajitafuta na waliojipata ni sababu wanategemea wanaume kujikwamua kiuchumi ila mwanamke alie jipata au anayejiweza kiuchumi bila kutegemea wanaume ni rahisi sana kumdate kijana alie mzidi umri hata kama ni maramoja kwenye maisha yake.

Iren uwoya
Mama dangote
Zari
Aunt
Madam rita
Wolper
Shishi
Annerlisa
Snura
Mama caira

Hao ni mifano tu ya wale maarufu ila bado wa kwenye maofisi na wajane wa mitaani uko.
Kwenye io list mtoe Snura, wolper, Aunt Ezekiel, Uwoya, shishi hao hawana hela, unaeza kuta hata wewe umewazidi kiuchumi Beemind
 
Mimi nilioa mwanamke ninaemzidi umri miaka 13 tunaishi vizuri tu unaogopa umri hata kwenye biblia Kuna wazee walioa mabinti hulijui hilo Cha muhimu mwanamke umpite umri ni sawa na kumpita urefu pia ni sawa na kumzidi nguvu yaani mwanaume uwe na nguvu ikiwezekana za kuweza hata kumbeba hiyo ndiyo saikolojia yao. Pia kwa wew lazima ulianza mapenzi rasmi na mwanamke anaekuzidi umri kisaikolojia ukajiaminisha hivyo ndiyo maana kila ukimwona jimama unaona raha, mabinti unaona watoto kwako hawawezi kitu kumbe mpaka uje umpate binti ndipo utaanza kuwasahau majimama pole pole hatimae utawapenda mabinti tena.
 
Kwa mfano Una wanaume wawili, wote ni matajiri, kimuonekano na kitabia wote wanavutia, Ila mmoja amekuzidi miaka 5, mwingine ni mdogo kwako umemzidi umri kwa miaka 5, wewe inatakiwa uchague mmoja aje akuoe, utamchukua yupi kati ya hao? Cute Wife

Hapo nakuwa nimelala nao kwanza au bado?!!

Km nishapiga nao game kwa kweli nisifiche nitaangalia mwenye show kali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwanaume wa kunishika shika kuniacha na hamu simtaki

Ila km bado hapo nitamchukua aliyenizidi 5yrs kidogo atakua na uzoefu wa kupiga guitar
 
Kwenye io list yako watoe Uwoya, aunt Ezekiel, Snura, wolper, na shishi, hao hawana hela mkuu, unaeza kuta hata wewe umewazidi kiuchumi Beemind

Hahah nakubali mkuu but for now naona wamethubutu kudate na vijana wanao wazidi umri baada ya kudanga sana kwa madoss hadi wakachoka but nachoconsider hapo ni kipatochao ukilinganisha na watu wanao wadate

Note; hao wote kitendo cha kukubali kuzaa na kudate vijana ambao financially hawako juu kuzidi wao basi nikujitoa kwenye system ya kudanga na kukubali kufuata moiyo yao inapopenda maana vibopa hua hawapendi pisi zao ziingie kwenye ndoa na kuzaa nahisi ni sababu mojawapo ya dada uwoya kuja kushidwana na dogo janja maybe!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tusumbufu hutoo,tung'ang'anizi tukionja papuchi....siwataki hata kuwasikia[emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wazee tayari wanakisukari kwahiyo hawahitaji tena sukari ndiyo maana anaenda moja tembo chalii
 
Back
Top Bottom