Yani namaanisha ntakua namuona tu kama mdogo wangu...halafu ataniona simuheshimuππMambo gani tena hayo? π
Haya sawa naona hapa public hutaki unataka nije privateUje nikutajie pekeyako..hapa hapana kwakweli πππ
Asante sana kwa kujielewa unataka nini na kusimamia upande wako kwa uthabiti usiopindika.Bora niendlee kua chini yenu tu kwakweli...maana napenda mwanaume awe amenizidi kila kitu,, hapo ndo hua nafeel nipo kwenye mahusiano ππ€
Shindwaaa pepoπ€£π€£π€£π€£Ni swala la muda tu. Umewazidi umri vijana wengi tu ila hajatokea ambaye anakuvutia. Rest assured atakugonga tu na hamna kitu utafanya. π€£
We tulia uoneπ€£Shindwaaa pepoπ€£π€£π€£π€£
πππHaya sawa naona hapa public hutaki unataka nije private
Sitaki niache ππ€£π€£π€£π€£We tulia uoneπ€£
Utaliwa tu π€π€π€ maana hamna namna ingineSitaki niache ππ€£π€£π€£π€£
Sizungumzii kipato.Hahahah aliekwambia madogo wote wanalelewa nani. Mtu anakuja kwako akiwa well established. Ana kampuni zake ana run kama CEO. Mkwanje mrefu Dubai kama towntrips tu. π€£
Acheni usanii!!! Hakuna mwanamke anayekataa mtu mwenye uhakika wa maokoto hata awe janki.
hapana kwakweli...kuliwa hivyo labda niwe nakaribia menopause nimekwambia πππ€π€Utaliwa tu π€π€π€ maana hamna namna ingine
Hahahah mtu well established ana akili za kitoto tenaπ€£Sizungumzii kipato.
Akili zao bado za kitoto sijawahi kuvutiwa nao.
Unakunywa kinywaji gani kwani. πhapana kwakweli...kuliwa hivyo labda niwe nakaribia menopause nimekwambia πππ€π€
mimi sitaki kua dominated sasaπkuna wanawake dominant wanapenda wanaume wa kuwa control, ndio wanaoendaga na vijana wadogo.
dahπcocomelon
π€£π€£π€£π€£ apple punch πππππUnakunywa kinywaji gani kwani. π
Hahahah nikajua savannah unipe lipa number waiter akuongezeeπ€£π€£π€£π€£ apple punch πππππ
Sasa hela huna,mwili wa kiume unao?? au nao huna? πmimi sitaki kua dominated sasaπ
sina 6 packπmwili wa kiume unao??