Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kuna binti kaolewa na mwanaume kamzidi 30 years okus kisa pesa.namuonea sana huruma maana mwanaume ni spina mkononi. Yaani ana stress kama zote. Sasa hivi anaanza kuona jamaa ni msumbufu.
Duuh!! Gap ya 30yrs si mchezo
 
Mimi sikatai nyinyi kupendana ,Upendo una Nguvu sana,kinachonikera Mimi Kwa Nini akuamkie shikamoo??kwani mngeambiana tu mambo baby angepungukiwa Nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom