Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Hii ya kufanya kosa Kisha unajificha kwenye makosa ya wengine ili kosa lako lisionekane sio poa kabisa, yaani unalazimisha makonda aonekane hajafanya kosa kisa wengine wanatembea na watoto wadogo, wanaiba pesa za uma, ushoga?

Makonda namkubali kinoma ila anapokosea aambiwe, kwani kulikuwa na ulazima kusema vile!? Hata kama una cheo kikubwa jaribu kuheshimu wa chini yako
 
Maadili ni yule mwanamke kuregeza sauti na kujirahisisha mbele ya halaiki?

Alichokifanya Makonda ni sahihi kwa asilimia mia moja.
Aiseee, hivi huwa hamuoni aibu kutetea ujinga!? Kwamba kutosogeza Mic karibu na mdomo au kuwa na sauti ndogo ni kujirahisisha!? Vipi yule anayerembua macho naye anajirahisisha kwa nani? Naona mmeanza kuingilia kazi ya Mungu (uumbaji) sasa subirini majibu.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Ukiachana na hiyo skendo ila jamaa wanamponda sana mawe, sababu ana kitu tofauti na wengi.
 
Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly?

Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata wanaume, kila mtu ana haki ya kuwa treated with respect
Mwambie ukweli huyu pimbi!
 
Kwani usinge zungumzia ushoga na usagaji usinge eleweka?

Mnapenda sana kujadili homo sex? Lol
 
Makonda ana hasira, anafahamu watumishi wengi ni wanafiki na hasa alifahamu pale alipotoka kwenye uongozi, ali experience kitu ambacho kilimpa uchungu sana.

Wengi walimcheka, dhihaka na kumtusi, tunaelewa waTanzania wengi ni wanafiki, hao hao watumishi ndio walikua wakimponda sana.

Sasa jamaa karudi haangalii uzuri, anajua hao wanarembesha sauti na kuigiza upole ndio wachawi wake, hivyo jamaa anapiga kwenye mshono.

Safi sana, Makonda nyoosha mbuzi.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Angekuwa mama yako anaambiwa vile ungejisikiaje,kijana wa hovyo sana wewe
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Kichwa chako umekifanya bustani ya kufugia nywele umbwa wewe!
 
Angekuwa mama yako anaambiwa vile ungejisikiaje,kijana wa hovyo sana wewe
Sioni shida mie kwenye yale maneno. Tunashida zinazozidi hizo na hatuzitatui tusijifanye tunajali.
 
Aiseee, hivi huwa hamuoni aibu kutetea ujinga!? Kwamba kutosogeza Mic karibu na mdomo au kuwa na sauti ndogo ni kujirahisisha!? Vipi yule anayerembua macho naye anajirahisisha kwa nani? Naona mmeanza kuingilia kazi ya Mungu (uumbaji) sasa subirini majibu.
Hahaha
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.
Ningependa kujua undani wa makuzi yako, mfano jinsi baba yako alivyomtendea mama na dada zako. Najua ukweli kwamba kwa baadhi ya watu wa Musoma kwa mfano, hawawezi kuona tatizo la alichofanya Makonda. Sasa inawezekana kabisa na wewe malezi yako ndio yanakufanya usione tatizo hapa, lakini lipo. Labda fikiria kwamba yule dada angekuwa ni mama au dada yako, ungeona sawa alichofanyiwa?
 
Back
Top Bottom