Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

ticha Joseph pale sesesco, zamu yake tulikuwa tunalimimia meno, kwa mapindi alikuwa mzuri sana, anafundisha makatalisti na malogarizim bila notisi.


akitoa test chini ya 60 ni Fimbo zisizo na idadi, anaalika staafu yote inatembeza bakora.
 
Mwalimu Masebo hapo hapo midlands mwaka 2007/2008
 
Israel Mjuni Mkongo (Tambaza high school) refa wa tff pia
Hili jamaa ndo lilifanya watu tuvae suruali mabangwa shuleni huku washikaji wa aza boy wakitucheka
 
Mr. Msocha Galanos secondary school Tanga hiyo. Huyu jamaa ni snichi kinoma zaidi ua yuda escariot.
Hahahahaha mwalimu wa michezo... pcm mzee wa physical education..computer na michezo.

Alisha staafu niisikia
 
Umemsahau malongoli na sauti lake lile ndio mana wakawa wanamtuma aje kudai ada ha ha ha ha ha jamaa ana bonge la mwili
 
Hakua mnoko alinyosha wanafunzi sana, alikua na uwezo wa kukariri sauti za wanafunzi mno, kiasi kwamba akiwa anaandika ukiongea utasikia wewe Edwin nyamaza!!Hahahaaa na hapo hajageuka mkuu
sasa kama si unoko ni nini?? siku moja alinichapa bila kosa kisa kagombana na mwl MBANDO hasira kazileta darasani..
 
Da mkuu wewe ulikua mtukutu sana da nimecheka sana ukamuongeza nyingine 400
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…