Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
yani umefungua thread haina swala la kugegedana?
Wa wap ?Mwalimu mbaga
Wa wap ?
Mr Dengea-Njombe sec
Mr Komba Midlands high school, huyu komba alinikamata na simu halafu nikaitupa km jiwe kwenye majani kisha nikamkana sina simu aisee alishindwa kuamini macho yake
Akataka kunichapa bakora nikamgomea akasalimu amri
Siku nyingine niliamua kumfanyia fujo ambayo kamwe hatoweza kusahau
Baada ya kuzidi unoko nilitafuta namba yake ya simu kwa mabinti kisha nikamtumia Tafadhali nipigie km 800 za tigo enzi hizo zilikuwa hazina idadi na mbaya zaidi km cm haipo hewani zinakaa pending ukiwasha tu zinaanza kumiminika basi kila akikaa simu yake inaingia tafadhali nipigie mpaka akanppigia simu sikupokea akatuma msg kuwa niwaambie tigo simu yangu inamtumia tafadhali nipigie ovyo,nikamuongeza zingine 400 akatupa na line..
Umesoma pale CCP? Mimi nimesoma pale.MWL SABUNI aka SOAP.. shule ya msingi Kilimanjaro miaka ya1990's mpaka 2010"s
Huyu faza chenga sana nilikua namkubali lakino alikua hana ushkaji wala nn ukijinchanganya anakuzingua tu af kuna ticha wa kuitwa nyaojo nae alikua chenga dizain flaniUmemsahau mtokambali
Hahahahaha mwalimu wa michezo... pcm mzee wa physical education..computer na michezo.Mr. Msocha Galanos secondary school Tanga hiyo. Huyu jamaa ni snichi kinoma zaidi ua yuda escariot.
sijasoma ccp nimesoma kilimanjaro pr. hakuna viumbe nawachukia kama askari pilisiUmesoma pale CCP? Mimi nimesoma pale.
Ana kipara mwembamba!?kama huyo sabuni namjua jua hiviMWL SABUNI aka SOAP.. shule ya msingi Kilimanjaro miaka ya1990's mpaka 2010"s
Umemsahau malongoli na sauti lake lile ndio mana wakawa wanamtuma aje kudai ada ha ha ha ha ha jamaa ana bonge la mwilibabu chacha aliwahi kumkimbiza mshkaj mmoja,mpaka kwao,alikuwa anakaa area c lugalo.na mwanae mmoja nilimaliza nae form four.marehemu miraji pamoja Na kunitengeneza sana tu nikiingia anga zake,ila alikuwa mtu mmoja poa sana,kuna siku tulikuwa tunamngoja mkaanga sumu,kwa pindi la biology practicle,tulipiga nae story sana.kazi zao walizipiga vyema,getini alikuwepo Afande jumapili(Sunday),jikoni bab side,joro Kwa Blandina...
upande wa waalimu wajeda karibu wote walikuwa wababe,wakiongozwa Na kisarika,aliwahi mchota mtama dada mmoja,form one hiyo,parade pale.mwingine ni master,mzee wa kuibeba dunia..maundi Mzee wa nyundo za kichwa
sasa kama si unoko ni nini?? siku moja alinichapa bila kosa kisa kagombana na mwl MBANDO hasira kazileta darasani..Hakua mnoko alinyosha wanafunzi sana, alikua na uwezo wa kukariri sauti za wanafunzi mno, kiasi kwamba akiwa anaandika ukiongea utasikia wewe Edwin nyamaza!!Hahahaaa na hapo hajageuka mkuu
Da mkuu wewe ulikua mtukutu sana da nimecheka sana ukamuongeza nyingine 400Mr Dengea-Njombe sec
Mr Komba Midlands high school, huyu komba alinikamata na simu halafu nikaitupa km jiwe kwenye majani kisha nikamkana sina simu aisee alishindwa kuamini macho yake
Akataka kunichapa bakora nikamgomea akasalimu amri
Siku nyingine niliamua kumfanyia fujo ambayo kamwe hatoweza kusahau
Baada ya kuzidi unoko nilitafuta namba yake ya simu kwa mabinti kisha nikamtumia Tafadhali nipigie km 800 za tigo enzi hizo zilikuwa hazina idadi na mbaya zaidi km cm haipo hewani zinakaa pending ukiwasha tu zinaanza kumiminika basi kila akikaa simu yake inaingia tafadhali nipigie mpaka akanppigia simu sikupokea akatuma msg kuwa niwaambie tigo simu yangu inamtumia tafadhali nipigie ovyo,nikamuongeza zingine 400 akatupa na line..