zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Hoja ipi toa mfano wa moja? Hvi mfano serikali inasema tununue ndege kwa CASH wakati inakataza CAG asikague wala tenda zisiwekwe wazi eti wakihoji oooh wanapinga ndege?? Kuna tofauti ya utekelezaji na malengo.upinzani ukageuka na kuwa wakosoaji tena wa zilezile hoja zao
Matako ww wakati wapinzani wakiwa bungen si ndo haohao walikuwa wanawatetea matokeo yake wakaanza kuwindwa kama kuku mara ngp wameitisha maaandamano na mnawabeza kwa kejeli na ushabiki leo bunge, kata , mitaa chn ya ccm vyote maana si mlikuwa mnasema wapnzan ni wapngaji haya leo hawapo huko wapo wanapambania katiba mpya itakayowabana watawala mjinga mmoja ww unataka waitishe maandamano ya kupnga tozo wakati dawa ni katiba mpyaMimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.
Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.
NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
Pambana na hali yako mliichagua nzi wa kijani wenyewe kodi hadi uvunguni wapinzani tumeamua kuwasusa wananchi mpaka mtie adabuMimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.
Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.
NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
Hujui unachouliza. Mona wewe mwenyewe hutetei hayoUkitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.
Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.
Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.
Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Magu hajawahi kupigania wanyonge, bali alikuwa anahadaa wanyonge. Usitake kumpa sifa asizistahili.Hapa wapinzani uchwara huwezi wakuta, wao wanataka madaraka tu na sio kuwatetea wananchi
Kipindi Magu anawapigania wananchi wanyonge walimpopoa kwa mawe, tena sio kidogo! Sana tu
Walivoanza kudai katiba mpya wakaanza kutulazimisha kuwa ni takwa letu! Wakati hakuna hata mwananchi mmoja wa hali ya chini aliyekuwa anazungumzia mambo ya katiba
Leo ndo utegemee kuwa waungane na wananchi kupaza sauti kuhusu mabando? Watu walewale ambao walimbeza magu kipindi anapambana na uonevu wanaofanyiwa watu masikini?
Sahv wapo kimya, subiri hili lipite uone watavoanza kulazimisha kuwa wananchi wote tunalilia katiba wakati hiyo katiba ni kwa manufaa yao wenyewe
Lini Mbowe ametutetea!!??Mbowe anatetea matycoon tu
Wewe kweli jingalao wakati unachagua wabunge wa kijani hukujua akina Mbowe wapo?Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.
Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.
Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.
Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Kumbe unajua yupo Dubai alafu unauliza yu wapi !!!!Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.
Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.
Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.
Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Shenzi sanaha ha ha ....mimi CCM nitaitetea milele na milele.
Ila sitaacha kuonesha ukilaza wa wapinzani