Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Aitoe wapi huyo fulafula ?!! [emoji1787]wapi Quran imeandika ni haramu ? unaweza kutuletea aya
Duuuh...Usijali mkuu hayo n mambo ya kawaida kwa Waislamu, mana kuran inasema mpira wa miguu ni haramu ila huko kwenye nchi yenye Uislamu yao wana ligi na Ronaldo yupo anacheza pamoja na Madina na Macca kuwepo huko
Kwani aliyeandika hapa ni huyo SHEKHE?!![emoji1787]Na aliyeongea na Shekhe tena n maarufu huko mitandaoni ila simjui jina, kwahy mtajuana wnyw huko wenye Uislamu wenu.
Umemuelewa alichokiuliza?Nadhani kajibu kwenye #13Kubashiri kitu au jambo ambalo huna uhakika nalo
Hivi sasa watu wanaabudu pesa na wanasiasa wenye madaraka.Niko kwenye runinga tangu asubuhi nafuatilia ndugu zangu waislamu na mashindano ya Quran kwa wasichana na mgeni rasmi ni Rais Samia.
Kitu ambacho sijakielewa kuna kamari ( maana sina jina mbadala) inachezeshwa na waandaji Bakwata ambapo smartphone, pikipiki, bajaj na magari vinashindaniwa kwa style ileile ya tatu mzuka na Biko, sasa swali langu hiki kinachofanywa na Bakwata ni sahihi kidini?
Karibuni, tusikashifu dini ya mtu tunaweza kuelimishana kistaarabu tu.
Elimu ya kiislam ni pana sana, na mijada huwa mingi sana. kwa mfano wapo baadhi ya waislam wanaamini islamic bank ni Riba, tupo tunaoamini ni biashara hamna Riba. Pale kuna masheikh na maulamaa wakubwa sana, wanaijua nini kamari na nini sio KAMARI. kwa ufupi ile sio KAMARI.Niko kwenye runinga tangu asubuhi nafuatilia ndugu zangu waislamu na mashindano ya Quran kwa wasichana na mgeni rasmi ni Rais Samia.
Kitu ambacho sijakielewa kuna kamari ( maana sina jina mbadala) inachezeshwa na waandaji Bakwata ambapo smartphone, pikipiki, bajaj na magari vinashindaniwa kwa style ileile ya tatu mzuka na Biko, sasa swali langu hiki kinachofanywa na Bakwata ni sahihi kidini?
Karibuni, tusikashifu dini ya mtu tunaweza kuelimishana kistaarabu tu.
Nilikua nasubir comment watu hawaelewi hayo mashindano yamekua sehemu ya kuchota pesa za wadhamini hata uislamu kuna akina mwamposa japo wao sio watu wamiujizaHapo bakwata wanatafuta maokoto nao
biblia ya sasa hata kurasa 3 hazikai kichwani. Quran hata mtoto wa miaka 6 anaweza kuihifadhi.Mashindano ya qur'an lakini cha ajabu wanaoumia na kupinga ni wasiokuwa waislamu!
Wenye watakuambia bahati nasibu...lakini ndiyo kamariHivi mnaamini mimi sina akili timamu? Sizungumzii zawadi za washindi wa kusoma Quran, bali kuna kamari kama ya tatu mzuka inachezeshwa wapo watakaoshinda simu, pikipiki, bajaji na gari mbili.
Eleweni hivi nilivyotaja havihusiani na wanaoshinda kusoma Quran hao wana zawadi zao nje ya hizi zinazoshindaniwa kwa njia ya kamari.
Bakwata kwa pesa tenaHivi sasa watu wanaabudu pesa na wanasiasa wenye madaraka.
Huyo ndio mungu wao.
Wewe unacho kifanya jf ndio sunna? Ikiwa wewe unajinasibisha na uana zuoni umefanya kipi chenye manufaa kwa jamii ya kiislam?Hicho wanachofanya BAKWATA ni bidaa. Na sisi wanazuoni tunajua moto mkali sana unawasubiri ambao kuni zake ni chuma cha pua
Zinashindaniwaje wa njia ya kamari? Hao washindi wanaopewa zawadi wameweka shingapi kabla ya kushinda zawadi?Hivi mnaamini mimi sina akili timamu? Sizungumzii zawadi za washindi wa kusoma Quran, bali kuna kamari kama ya tatu mzuka inachezeshwa wapo watakaoshinda simu, pikipiki, bajaji na gari mbili.
Eleweni hivi nilivyotaja havihusiani na wanaoshinda kusoma Quran hao wana zawadi zao nje ya hizi zinazoshindaniwa kwa njia ya kamari.
Nikusaidie kitu ili usiwe mjinga Tena, siyo ligi tu kuna mpaka pombe na malaya na maovu mengineyo.Usijali mkuu hayo n mambo ya kawaida kwa Waislamu, mana kuran inasema mpira wa miguu ni haramu ila huko kwenye nchi yenye Uislamu yao wana ligi na Ronaldo yupo anacheza pamoja na Madina na Macca kuwepo huko
Sasa ndio had watu wa Macca na Madina kwenye Uislam yao?Nikusaidie kitu ili usiwe mjinga Tena, siyo ligi tu kuna mpaka pombe na malaya na maovu mengineyo.
Uislamu hauna mmiliki zaidi ya Allah peke yake na binadamu alipewa aishi nao na nafsi ya huyo binadamu haikalifishwi na Allah, kuwepo kwa uislamu mahali inaashiria kuna watu na si mbuzi, kwa hiyo ukimuona Muislamu kafanya jambo lililo kinyume na Uislamu jua atakumbana na hukmu ya Mola wake,
Na ww ujitahidi kukaa kwenye jua la asubuhi ili upate vitamin, mana kisa limesemwa ambalo halijakufurahisha ndio mana unaleta stress zako kwanguKwani aliyeandika hapa ni huyo SHEKHE?!![emoji1787]
Jitahidi ule matunda haswa ndizi mbivu(vitamin B6 & B 12 husaidia sana kufikiri vyema).