jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
app inatoka lini? na kama itachukua mda kitabu kinapatikana wap na gharama yake ikoje? itapendeza ukiweka na mawasilianoUtasomea ndani ya app tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
app inatoka lini? na kama itachukua mda kitabu kinapatikana wap na gharama yake ikoje? itapendeza ukiweka na mawasilianoUtasomea ndani ya app tu
Rafiki zetu wachina.....Hiki chuo mlichojengewa na Putin au kingine?
Muda wowote kuanzia sasa, tunasubiri Google wa approve tuapp inatoka lini? na kama itachukua mda kitabu kinapatikana wap na gharama yake ikoje? itapendeza ukiweka na mawasiliano
Shaka ni mtoto wa Dada yake na Mama Samia, Mh. Rais wetu. Hapo kaenda na mwanae apate exposure ya dunia.Kuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,
Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?
Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba?
Mwandishi?
Mpishi?
Msanii?
Ni Kayemba?
Ntu ya Dili?
Mkutano wa Kibiashara, Viongozi wa Ccm wanatumia pesa ya umma kwenda kusaka wanachama huko au ndio zamu yao ya kula nchi kwenyewe?
View attachment 2135726
Yeriko nyerere sio level zako tafuta wakufanana naweThreads za kipumbavu zinaanzishwa kila siku humu JF kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya. Halafu eti Yericko Nyerere naye ni mtunzi wa vitabu vya KIJASUSI.
Tafuteni mada fikirishi siyo haya maongezi ya jikoni
Siwezi kuwa level ya Yericho to be honest. Sifanyi kazi ya ku plagiarize Malala Wala kulima bamiaYeriko nyerere sio level zako tafuta wakufanana nawe
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kama nihivyo sogea mbele ludi nyuma tikisa wekichwaSiwezi kuwa level ya Yericho to be honest. Sifanyi kazi ya ku plagiarize Malala Wala kulima bamia