Kwenye msafara wa Kiserikali wa Rais Dubai, Shaka ana nafasi gani?

Kwenye msafara wa Kiserikali wa Rais Dubai, Shaka ana nafasi gani?

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Kuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,

Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?

Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba?
Mwandishi?
Mpishi?
Msanii?
Ni Kayemba?
Ntu ya Dili?

Mkutano wa Kibiashara, Viongozi wa Ccm wanatumia pesa ya umma kwenda kusaka wanachama huko au ndio zamu yao ya kula nchi kwenyewe?



IMG_20220301_231950_124.jpg
 
Habari za mwenezi taifa wa CCM kuonekana Dubai tunaikomalia sana. Huku mkibeza alienda kununua vipodozi hazitusaidii.

Kuwabeza wanaCCM waliokosa uteuzi kama Makonda na wenzake pia sio busara maana hayo ya kukosa shavu ni ya kwao.

Sisi tujadili mambo ya msingi kama kuwa na sera na hoja zinazoendana na wakati huku tukiwapa elimu wananchi. Hasa namna taifa lao linanyonywa hovyo na wanaCcM huku wakikataa katiba mpya ambayo italeta mabadiliko.
 
Shaka Hamdu Shaka,
Kipenzi Cha Mama

Yaani kama hii nchi ni familia ,basi Shaka ni last born[emoji23][emoji23][emoji23]

Mama yoyote kwenye family hawezi kumwacha mtoto wake wa mwisho Tena mtoto mdogo [emoji23][emoji23][emoji23]

Miaka hiyo my mom alisafiri kwenda Kenya tu hapo

Jambo kubwa kwangu lilikuwa kumuona Kenyatta senior liiiive lilikuwa jambo kubwa sana nilishindwa nawasimuliaje hata friendmate wenzangu

Mama hakuniacha Mimi licha ya kuwa nilikuwa +20 lakini alikuwa ananiona mtoto

Kaka na dada zangu wote hawajawahi kutoka nje ya bongo hata

weeeee Mimi kurudi ndugu zangu nilikuwa nawaonaje sijui[emoji23][emoji23][emoji23]

Achilia mbali majirani ,nilijiona natoka Paris, Amsterdam,New York [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Acha Shaka ale maisha, Duniani tunapita,nafasi yake imefika
 
Habari za mwenezi taifa wa CCM kuonekana Dubai tunaikomalia sana. Huku mkibeza alienda kununua vipodozi hazitusaidii.

Kuwabeza wanaCCM waliokosa uteuzi kama Makonda na wenzake pia sio busara maana hayo ya kukosa shavu ni ya kwao.

Sisi tujadili mambo ya msingi kama kuwa na sera na hoja zinazoendana na wakati huku tukiwapa elimu wananchi. Hasa namna taifa lao linanyonywa hovyo na wanaCcM huku wakikataa katiba mpya ambayo italeta mabadiliko.

Si ungeendelea na utoaji wako single ulikobobea?



Kipaji chako kipo huko.
 
Back
Top Bottom