Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huu ni muda wa wapemba kutafuna pesa ya umma kutoka bara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zetu wa masai wanafukuzwa kwenye ardhi yao waraabu wanakaribishwa na kupewa ardhi ya ndugu zetuHuenda anaomba ushirikiano na pia waijengee CCM hoteli ya kitalii Ngorongoro nao watapewa kajieneo kidogo pembeni.
Wivu kuchezea mali ya umma? kwanini asiende na Mwinyi sabbu ni mzanzibar mwenzake?Tuache Wivu.
Mpuuzi wewe muendelee kuchezea pesa za umma ajili ya kuijenga Zanzibar tukae kimya?Threads za kipumbavu zinaanzishwa kila siku humu JF kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya. Halafu eti Yericko Nyerere naye ni mtunzi wa vitabu vya KIJASUSI.
Tafuteni mada fikirishi siyo haya maongezi ya jikoni
Tumia maneno machache kuwaambia watu Shaka alienda kama nani? maelezo meeeengiThreads za kipumbavu zinaanzishwa kila siku humu JF kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya. Halafu eti Yericko Nyerere naye ni mtunzi wa vitabu vya KIJASUSI.
Tafuteni mada fikirishi siyo haya maongezi ya jikoni
Kwa hiyo Shaka ndiye mamba aliyetoka majini kutafuna fedha za umma nchi kavu. Shee ubwabwa umekunogea siotatizo machogo mnasahau sana sana,njooni Unguja na pemba mutiwe fahamu,
Hivi mmesahau ule msemo usemao kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ?
Ili ujilipue?Tanzania ni nchi ya kipuuzi sana. Bora ningekuwa tu Mtaliban wa Afghanstan.
Ni zamu ya wazanzibari kula jasho la watanganyikaKuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,
Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?
Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba?
Mwandishi?
Mpishi?
Msanii?
Ni Kayemba?
Ntu ya Dili?
Mkutano wa Kibiashara, Viongozi wa Ccm wanatumia pesa ya umma kwenda kusaka wanachama huko au ndio zamu yao ya kula nchi kwenyewe?
Ujio wa YerickoNyerereApp.
App imekamilika na itazinduliwa soon,
App hii itakuwa ni ya kulipia kwa
Wiki 5,000/=,
Mwezi 10,000/=,
Miezi Mitatu 20,000/=
Miezi sita 25,000/=
Mwaka mmoja 30,000/=
Ukishalipia vitabu vyote utasoma Soft copy BURE yaani FREE kupitia simu yako kuanzia Kitabu cha Ujasusi, Madaraka, Strategy na Mtu baada ya Mtu.
Malengo ni kuwa na platform inayomfanya kila mtu asome vitabu kwa kiasi chochote cha pesa alichonacho, na mtu atasoma kitabu kwa simu, iPad yake bila kuhangaika kunipigia simu mimi.
View attachment 2135726
Kila senti tunayokopa lazima itumike kwa manufaa ya watanzania wote na siyo vyama.Threads za kipumbavu zinaanzishwa kila siku humu JF kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya. Halafu eti Yericko Nyerere naye ni mtunzi wa vitabu vya KIJASUSI.
Tafuteni mada fikirishi siyo haya maongezi ya jikoni