Kwenye vijiwe vya kahawa, kashata kachori na pweza hivi sasa stori kubwa ni Rais Samia

Kwenye vijiwe vya kahawa, kashata kachori na pweza hivi sasa stori kubwa ni Rais Samia

Leo kijiweni habari ni game ya yanga na al ahly na update za Manyara huyo unayemsema hata hajaskika
 
Atakayechukua Fomu Kushindana na Rais Samia atavuna aibu na kulaaniwa na watanzania. mtu yeyote Asithubutu kuchukua Fomu Kushindana na Rais samia maana aibu atakayoipata kwa hakika atazimia na kupoteza fahamu.

Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyepewa kibali cha kuongoza Taifa letu.
Hivi Mungu ni mtani wenu au?
 
nikiwa kiraia zaidi, nimejumuika na wananzengo vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza. Stori na hadithi nyingi zimetekwa na jina la Rais, Dr Samia Suluhu Hassan.

Kwamba huyu mama ni hodari, anajali sana, ana bidii mno ya kazi, anaskiza sana maoni ya wananchi, ni mahiri na makini sana kwenye kuchukua maamuzi magumu na hatua za kuwaletea wananchi uhuru, haki na maendeleo.

Wanadai mama amefungua nchi, fursa zipo na zinaonekana saivi na pesa inapatikana kwa wenye kuchapa kazi kwa bidii na inaonekana.

Ubora wa maisha na urahisi wake, unapanda na kuongezeka siku hadi siku. Wangwana na watafutaji hawa wasiochoka wala kukata tamaa, kwakweli wanafurahia na kunufaika kwa jitihada na hatua mbalimbali za kiuchumi anazochukua Raisi.

Wadau wanafunguka zaidi kwamba nchi ni tulivu mno, haijawahi kutokea. Ulinzi na usalama wa mipaka, mali na raia ni wa uhakika sana nchini. Amani imetawala pote Tanzania.

Hii ni sehemu ndogo tu ya makundi mengi sana wanaofurahia na kunufaika na mipango ya serikali ya Dr Samia mthalani bodabodas, mabajaji, madaladala nk.

Wanadai 2025 kama huyu muMama atagombea, basi uhakika wa kura zao ni asilimia 100%. Wanashauri watoa taarifa na wengineneo bora wakafanye mambo mengine lakini sio uongozi wa nchi hii wakati huu.

Kiufupi huyu muMama anapendwa sana na anakubalika mno vijiweni.

Kupambana na huyu mama ni kupoteza muda.....

Wacha tusubiri,
Time Will tell.....
Hapo chini ungemalizia kwa kutupia kanamba ka simu ili teuzi zikitoka upate kukumbukwa
 
Leo kijiweni habari ni game ya yanga na al ahly na update za Manyara huyo unayemsema hata hajaskika
ndio na kwambia sasa...

Mambo yanayojadiliwa pale ni mengi mno, linalotrendi sana ni hili la Dr Samia Suluhu Hassan kisha hayo mengine hufata


actually alianza kujadiliwa na tangu kitambo sana na kwakwelia anaendelea kujadiliwa sana , na nadhani hii itaendelea hadi vijana hawa watakapompigia kura kwa wingi sana huyu Mama Oct 2025....
 
Muhimu ni ule uchumbe wametoa wale wa ungwana dhidi ya Dr.SSH...

Inafurahisha sana kuthibitishiwa na vijana wanaojitambua kwamba wafanya bidii wale wako na Mama, wanaimani na mama na 2025 kwenye debe watawonenyesha kivumbi vibaraka wa mabwenyenya
Hicho chama sio Cha vijana ni Cha kizazi kilichopita. Chawa acha kula hela ya chama kwa research fake.
 
nikiwa kiraia zaidi, nimejumuika na wananzengo vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza. Stori na hadithi nyingi zimetekwa na jina la Rais, Dr Samia Suluhu Hassan.

Kwamba huyu mama ni hodari, anajali sana, ana bidii mno ya kazi, anaskiza sana maoni ya wananchi, ni mahiri na makini sana kwenye kuchukua maamuzi magumu na hatua za kuwaletea wananchi uhuru, haki na maendeleo.

Wanadai mama amefungua nchi, fursa zipo na zinaonekana saivi na pesa inapatikana kwa wenye kuchapa kazi kwa bidii na inaonekana.

Ubora wa maisha na urahisi wake, unapanda na kuongezeka siku hadi siku. Wangwana na watafutaji hawa wasiochoka wala kukata tamaa, kwakweli wanafurahia na kunufaika kwa jitihada na hatua mbalimbali za kiuchumi anazochukua Raisi.

Wadau wanafunguka zaidi kwamba nchi ni tulivu mno, haijawahi kutokea. Ulinzi na usalama wa mipaka, mali na raia ni wa uhakika sana nchini. Amani imetawala pote Tanzania.

Hii ni sehemu ndogo tu ya makundi mengi sana wanaofurahia na kunufaika na mipango ya serikali ya Dr Samia mthalani bodabodas, mabajaji, madaladala nk.

Wanadai 2025 kama huyu muMama atagombea, basi uhakika wa kura zao ni asilimia 100%. Wanashauri watoa taarifa na wengineneo bora wakafanye mambo mengine lakini sio uongozi wa nchi hii wakati huu.

Kiufupi huyu muMama anapendwa sana na anakubalika mno vijiweni.

Kupambana na huyu mama ni kupoteza muda.....

Wacha tusubiri,
Time Will tell.....
Sio Vijiweni tuu Bali Africa na Dunia, habari ya mjini ni Samia.

Machadema yatajifanya yamesahau jinsi mtandao ulitikiswa kule India na Samia.

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1731200952579883055?t=WklAp1_KwI5MBGKbIWiIlA&s=19
 
Hicho chama sio Cha vijana ni Cha kizazi kilichopita. Chawa acha kula hela ya chama kwa research fake.
Mzee for your information,
Hiki chama sio cha vijana, wazee, wanawake au wanaume pekee. Wala si cha generation ile au hii. Hiki chama ni cha wananchi na waTanzania wote bila kujali, dini, rangi au mahali unakotoka. Hakiintertain ubaguzi hata sekunde mojo...

Ni chama kinachojali utu na heshima ya kila mwanadamu. Na wanachama wote ni sawa...

Tafiti imeendraaaa vizuri sana jomba ....unaambiwa huko duniani wanamuamini sana Dr Samia Suluhu Hassan kuisaidia Africa....
 
Ratiba ya Samia Iko busy kuliko kawaida,Kila Kiongozi huko ughaibuni anatamani kuongea nae
wanatamani wabaki nae dah 😅

yaani for sure, huyu muMama anaonekana na kuaminika kama solution ya changamoto za Africa yaani . And she is able leader
 
Mzee for your information,
Hiki chama sio cha vijana, wazee, wanawake au wanaume pekee. Wala si cha generation ile au hii. Hiki chama ni cha wananchi na waTanzania wote bila kujali, dini, rangi au mahali unakotoka. Hakiintertain ubaguzi hata sekunde mojo...

Ni chama kinachojali utu na heshima ya kila mwanadamu. Na wanachama wote ni sawa...

Tafiti imeendraaaa vizuri sana jomba ....unaambiwa huko duniani wanamuamini sana Dr Samia Suluhu Hassan kuisaidia Africa....
Narudia tena, hicho ni chama Cha wazee, vijana walioko humo ni aidha mazombie, au wasaka fursa. Na Kiko madarakani Hadi sasa kwa sababu za kihostoria na mbeleko ya vyombo vya Dola. Siku inatoka madarakani ipe miezi 6 tu itafufutika, maana watakaokipigania ni wazee na wao hawana nguvu tena.
 
Narudia tena, hicho ni chama Cha wazee, vijana walioko humo ni aidha mazombie, au wasaka fursa. Na Kiko madarakani Hadi sasa kwa sababu za kihostoria na mbeleko ya vyombo vya Dola. Siku inatoka madarakani ipe miezi 6 tu itafufutika, maana watakaokipigania ni wazee na wao hawana nguvu tena.
ndoto zako za usingizi wa kwenye daladala 🤣
 
nikiwa kiraia zaidi, nimejumuika na wananzengo vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza. Stori na hadithi nyingi zimetekwa na jina la Rais, Dr Samia Suluhu Hassan.

Kwamba huyu mama ni hodari, anajali sana, ana bidii mno ya kazi, anaskiza sana maoni ya wananchi, ni mahiri na makini sana kwenye kuchukua maamuzi magumu na hatua za kuwaletea wananchi uhuru, haki na maendeleo.

Wanadai mama amefungua nchi, fursa zipo na zinaonekana saivi na pesa inapatikana kwa wenye kuchapa kazi kwa bidii na inaonekana.

Ubora wa maisha na urahisi wake, unapanda na kuongezeka siku hadi siku. Wangwana na watafutaji hawa wasiochoka wala kukata tamaa, kwakweli wanafurahia na kunufaika kwa jitihada na hatua mbalimbali za kiuchumi anazochukua Raisi.

Wadau wanafunguka zaidi kwamba nchi ni tulivu mno, haijawahi kutokea. Ulinzi na usalama wa mipaka, mali na raia ni wa uhakika sana nchini. Amani imetawala pote Tanzania.

Hii ni sehemu ndogo tu ya makundi mengi sana wanaofurahia na kunufaika na mipango ya serikali ya Dr Samia mthalani bodabodas, mabajaji, madaladala nk.

Wanadai 2025 kama huyu muMama atagombea, basi uhakika wa kura zao ni asilimia 100%. Wanashauri watoa taarifa na wengineneo bora wakafanye mambo mengine lakini sio uongozi wa nchi hii wakati huu.

Kiufupi huyu muMama anapendwa sana na anakubalika mno vijiweni.

Kupambana na huyu mama ni kupoteza muda.....

Wacha tusubiri,
Time Will tell.....
Kwani Tanzania ni Dar es Salaam pekee?
 
Back
Top Bottom