Mpare π€£π€£π€£π€£Ila shemdarling si mpare yuleπ π π ?
π€£π€£π€£Kwa hiyo wewe shangazi la Tanga lililoiunga tamu yake na hiriki na mdalasini hulitaki?Hiyo ni pie, liwe na natural scent toka kwa Mungu, sitaki marashi mie....ile inayoleta mzukaπ€£π€£
Ilivundikwa muda mrefu sana πMbege Gani kichwa kinakuwa race hivyo?
Alaf TikTok na Snapchat mtatumia saa ngapi? π πHii mbona tunafanya hata sisi under 40 Sema kama hakufanyii hivi hakupendi π
Yule ataingia kwenye world Guinness.. .maana ndio mpare wa kwanza kumtumia Hela bila majutoMpare π€£π€£π€£π€£
Ila sio bahili
Basi hatari sanaIlivundikwa muda mrefu sana π
Shetani bado yupo kati yetu πSitaki nimekataa
Ajali kazini, sio mbaya π πUtakuja uvunjike shauri yako π€£π€£π€£
Bado mashudu aliyolishwa na Lamomy yapo kichwani. Yataisha tu πMbona Kwa msisitizo sanaπ€£?
Hapana hata kidogo, nataka ile asili yake, vigezo na masharti kuzingatiwa tu, minato pia hapanaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Kwa hiyo wewe shangazi la Tanga lililoiunga tamu yake na hiriki na mdalasini hulitaki?
Acha kutusagia wewe, tumejaliwa vitu viwili, show na ukarimu..utoaji, sisi ndugu zetu wangoniπ€£π€£Yule ataingia kwenye world Guinness.. .maana ndio mpare wa kwanza kumtumia Hela bila majuto
π€£π€£π€£π€£ naona uzi unakupeleka kubayaKwema tu jirani.
π
Ambaye wa kwanza ni Dk Gwajima, sijajua huyo mwingine atakuwa nani???? πππ
Jichanganye upasukeππ€£ππPiga tuu kaka
Tatizo niliposema portable, kichwani imekujia picha ya mamiss. Mwanamke ambae yupo below 75kg huyo ni dume mwenzetu, apite kushoto πPortable kwangu nope, yaani portable kabisa kweli? Nataka mzigo...70kg+
Nitafute nikupe folder zima. Maana nimeimbiwa hadi nimezikariri πNataka nikimpata wa kumuogesha nijue nyimbo za kumwimbia