Nakuona nakuonaπ€£π€£You are welcome Mr hon
Utupe na mipunga sasa sio maneno mengi πππ
Yaani Nkamu nakuangalia halafu nachekaπ€£π€£π€£π€£ ila nkamu hapo unatamani uingie piem
We mtoto unazingua Sanaπ
Mpare huyu huyu?labda mkinga....ndio maana nakwambia Shem wangu mbinguni siti ya kwanzaMpare akipenda anatoa pesa bila kinyongo km mkinga tyuuu!! ππππ
Huyo Watu8 kawaihiwa na my shoo Tayana-wog wewe Kaa Kwa kutulia,hajapita!
Nkamu acha basi mwenyewe nna furushi la ubuyu kwanza njoo nikuwao ofwaaaah nkamu π€Yaani Nkamu nakuangalia halafu nacheka
Habari nilizonazo ungezijua,ungetamani uniwao pm kuziomba
tena kuonyana kwa upendo katika Roho na Kweli πWewe ni mwanangu wa kiroho sana,kamwe hakuna mzandiki atapaswa kujua Siri za ufalme,maana hawana nguvu za kujua,kama ujuavyo ufalme utatekwa na wenye nguvu....na mwanangu una nguvu....nilikuwa najaribu kumuonya muumini mwenzangu asianze ukemia asubuhisubuhi Lamomy kama tunavyoaswa kufanya iwapo Mmoja wetu atakengeuka basi tuonyane sisi Kwa sisi
ππππππππNkamu acha basi mwenyewe nna furushi la ubuyu kwanza njoo nikuwao ofwaaaah nkamu π€
Nkamu hata mimi nimeokoka basi tutete kilokole π€£π€£π€£π€£ππππππππ
Nimeokoka nampenda Yesu
Hivi iphone ya udugu ushampatia?
Ahadi ni deni Nkamu.
Hata nikisemwa vby usiwaamini π€£π€£Haya njoo Bina tayari
πππππety kasema hivi ety una madem chungu mzimaHata nikisemwa vby usiwaamini π€£π€£
Bwana Yesu asifiweπππNkamu hata mimi nimeokoka basi tutete kilokole π€£π€£π€£π€£
Ewaaaaaaaa mwanangu πtena kuonyana kwa upendo katika Roho na Kweli π
okay I remember it very well...π€£π€£π€£π€£ dada tulia basi, kwanza unakumbuka mh alituahidi nini last time??
Tlaatlaah ahadi no deni ulituambia utatuletea cousin wetu Morgan π€£π€£π€£