Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Equation x nimefika hapa kituo cha bus mbona simu yako haipatikani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
Na huku Dasalamu mim mgeni 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
🀣🀣🀣🀣 ungeuliza kwanza huyo sio mtu
 
Sina shaka na ahadi zako,na 2025 tunaenda na wewe,Jimbo unachukua Tena! campaign manager Lamomy atahakikisha unashindwa kwa kishindo
asanti sana Mama, kwa wishes zako njema na za baraka sana kwangu, dhidi ya ndoto, matarajio na matamanio yangu ya kisiasa kwa mwaka ujao wa uchaguz mkuu2025. Kwa Neema na Baraka za Mungu, na ikawe kama ulivyo nena
 
asanti sana Mama, kwa wishes zako njema na za baraka sana kwangu, dhidi ya ndoto, matarajio na matamanio yangu ya kisiasa kwa mwaka ujao wa uchaguz mkuu2025. Kwa Neema na Baraka za Mungu, na ikawe kama ulivyo nena
If God is with you who can be against you,?may God grants you double favor,grace upon grace be with you,May the Lion of Judah be your guarantor ❀️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…