Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
to hell with your damn thread π€£, am outBado nitakukumbusha hii thread ya wamama,acha kujitetea.
Tufike thrad ya "God is dead" ukaokoke dogo.
Thank you my dear.
Kweli kabisaa. Kwa Lengo jema la kuweka Amani na utulivu ni vema usitaje.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mr Right wangu, nikintajaa hapa, hapatatoshaaa.
Nimeamua kuepusha mzozo.
Acha unafki kumnanga shemeji ako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee unamuitaa Selemaniiii? Sema kweliii
Mambo Bichwa π€£Afu we Depal.... π₯°π₯°π₯°
Unataka uungane na sisi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] thubutuuuu!!!!
Kwani shangazi yupo chumbani?Mnamchokoza shangazi wa watu
Mnamfosi atoke chumbani [emoji16][emoji16]
Hahaha umekuja kuleta balaa, watu hatutajwi mpaka tunaamua kujitajaHuu Uzi nilidhani ni mdogo kumbe ni mkuuubwa, haya jamani napita jana ilikuwa 1k Leo 2k replies
Na kwann ufichwe km utumbo bana.!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nimechekaa had machoziiiii!!!
Raha ya mapenzi muwe wazi, kila mtu atambue hilo.
Tunataka kufungua kanisa letu π€£π€£π€£Mna habarii gani tenaa jamaniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya sema una Jambo gani π€?Natamani nikwambie kitu ila bas
Kukoma mpk nikifa labda ππππ€£π€£Hujakoma tu
Eee wizo πππNatamani nikwambie kitu ila bas
Unaanza kulainika ππππHaya sema una Jambo gani π€?
Hahahahaha..una sgrHuu Uzi nilidhani ni mdogo kumbe ni mkuuubwa, haya jamani napita jana ilikuwa 1k Leo 2k replies
Aisee Sasa mtu kani salimia, nime muitikia, ana sema ana taka aseme Jambo.Unaanza kulainika ππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ningekua mnafikii hata Selemani msingelitaja hapa.Acha unafki kumnanga shemeji ako