Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ningekua mnafikii hata Selemani msingelitaja hapa.

Afu mbona mie unafikii siuweziii? Ila kwenye shemeji unanionea De.

Wee c ndo bamsapu wako lakiniii, had kuwekana avatar same, mlipendezana wenyeweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 wee udugu em niwacheee kumbe na avatar mfanano zilikuwepo?? Bi mdogo ana hekaheka
 
Back
Top Bottom