Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Namuachaje kwa mfano?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yy aswampe akimaliza beibyy wake nipo atanikuta nimejaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchanaa watazungukaaa huko, jioni watarudi na watatukutaaa tupoo na tumejaa teleee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem tunaee, tunae haswaaa.
🤣🤣🤣🤣 ww ngoja atokee hapa upate burudani usiyotarajia nakwambia..!! Now kachachuka km mgonjwa wa umeme
 
Sasa hiyo chuki itoke wapi wewe ni mara ngapi nilishakuambia kwamba uko smart upstairs na huwa nakukubali, mimi siwezi kumsifia mtu kama simkubali huo unafiki sina na nikimkubali mtu huwa nampa maua yake, ila tu kuna comments huwa unazitoa kuhusu wanawake mpaka huwa najiuliza huyu ni wewe kweli maana hata mi nilikuwa sijakuzoea hivyo..sema basi tu nazisahaugi hizo nyuzi ila ningezitafuta nikuoneshe!!
Ngoja nikutag sehem nyingine mwingine tuachie uzi wa watu
 
Back
Top Bottom