Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Pole sana ndugu mtazamaji bff wangu kuna dume la nguvu kashalitag 🤣🤣🤣🤣
Wewe utaishia kusindikiza mwenge kwa mbio tyuuu.!! 😂😂😂
Hizi tag hapa ni kupoteza muda tu, nothing more. Seriousness iko huu upande wa pili huku 😅😂
 
Hizi tag hapa ni kupoteza muda tu, nothing more. Seriousness iko huu upande wa pili huku 😅😂
Wee asikudanganye mtu!! Km kweli una demu humu na hajakutaja anakuficha km bangi ujue hapo hakuna mapenzi na mpo kijiji uko pm au ana id nyingine ya kuwapanga foleni.!! Hili liko wazi 🤣🤣🤣🤣🤣

Hivi unajua utamu wa kupenda wewe?? Ukimpenda mtu utatamani kila sehemu umuweke bango uonyeshe raia unavyopenda.!! Ww huyo timua anakumalizia vihela vyako uko piemuni 🤣🤣🤣🤣🤣

Kwanza ukitajwa inaongeza na kurudisha nguvu za kiume, huoni wenzio wanaamua kuwaita mademu zao wawataje 😂😂😂
 
Wee asikudanganye mtu!! Km kweli una demu humu na hajakutaja anakuficha km bangi ujue hapo hakuna mapenzi na mpo kijiji uko pm au ana id nyingine ya kuwapanga foleni.!! Hili liko wazi 🤣🤣🤣🤣🤣

Hivi unajua utamu wa kupenda wewe?? Ukimpenda mtu utatamani kila sehemu umuweke bango uonyeshe raia unavyopenda.!! Ww huyo timua anakumalizia vihela vyako uko piemuni 🤣🤣🤣🤣🤣

Kwanza ukitajwa inaongeza na kurudisha nguvu za kiume, huoni wenzio wanaamua kuwaita mademu zao wawataje 😂😂😂
Sasa kama kutajwa ni mpaka umwambie, huyo ni wako kweli?.

Mimi niwape ujumbe wanaotajwa na wanaoomba kutajwa, kwamba, wanatajwa wao, ila tunakula sisi 😅
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa huyo nakupa hongera bff umejua kuchagua, mi na yy mtu na rafiki yake namzingua tyuuu!!
Mh. Waziri mpole mimi siwezani naye ntamchosha.! 😂😂😂😂
Basi nipe baraka...nikiwa PA sitakuficha kitu bff nitakulindia asinyakuliwe na nyakunyaku wa mjini 🤣
 
Back
Top Bottom