Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Download hivyo hivyo, utaipenda taratibu taratibuMpya haivutii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Download hivyo hivyo, utaipenda taratibu taratibuMpya haivutii
Hizi tag hapa ni kupoteza muda tu, nothing more. Seriousness iko huu upande wa pili huku 😅😂Pole sana ndugu mtazamaji bff wangu kuna dume la nguvu kashalitag 🤣🤣🤣🤣
Wewe utaishia kusindikiza mwenge kwa mbio tyuuu.!! 😂😂😂
,🤣🤣🤣Shida sanaAnasikilizia anasoma upepo kwanza atoke vipi? 🤣🤣🤣🤣
Wewe ulishamaliza project hiyo mzee mwenzangu?🤣🤣🤣🤣Hahahahaha..mzee mwenzangu nikuache na project zako .kila la kheri
Umeniwahi! Ndo nilikua natype hapa😆😆
Ikaushie
Because nina dawa, nikikuongelesha lazima utii 😎Mbona wewe sikukupenda taratibu taratibu,
Hiyo dawa utaniazima, kuna mtu nimuwekeeBecause nina dawa, nikikuongelesha lazima utii 😎
Ambaye wa kwanza ni Dk Gwajima, sijajua huyo mwingine atakuwa nani???? 😁😁😁JF nzima ina ladies wawili tu,wengine wote vidume
Ngoja waje
Hiyo mpaka utengenezwe. Unaweza kwenda kilingeni?Hiyo dawa utaniazima, kuna mtu nimuwekee
Umeniwahi! Ndo nilikua natype hapa
Wee asikudanganye mtu!! Km kweli una demu humu na hajakutaja anakuficha km bangi ujue hapo hakuna mapenzi na mpo kijiji uko pm au ana id nyingine ya kuwapanga foleni.!! Hili liko wazi 🤣🤣🤣🤣🤣Hizi tag hapa ni kupoteza muda tu, nothing more. Seriousness iko huu upande wa pili huku 😅😂
Huo uchawi sasa! SitakiHiyo mpaka utengenezwe. Unaweza kwenda kilingeni?
Shangazi aje amtaje anko mio 😂😂😂😂,🤣🤣🤣Shida sana
Huu uzi ni wa vijana kama sisi tuna chit chatBora hujaiweka, maana naona ni miyeyusho tu kutajana tajana hapa...
(Sorry kwa wale wanaotajana kwa kumaanisha)
Sasa kama kutajwa ni mpaka umwambie, huyo ni wako kweli?.Wee asikudanganye mtu!! Km kweli una demu humu na hajakutaja anakuficha km bangi ujue hapo hakuna mapenzi na mpo kijiji uko pm au ana id nyingine ya kuwapanga foleni.!! Hili liko wazi 🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi unajua utamu wa kupenda wewe?? Ukimpenda mtu utatamani kila sehemu umuweke bango uonyeshe raia unavyopenda.!! Ww huyo timua anakumalizia vihela vyako uko piemuni 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza ukitajwa inaongeza na kurudisha nguvu za kiume, huoni wenzio wanaamua kuwaita mademu zao wawataje 😂😂😂
Analyse sio mtu hafai hata kidogoIla luca amekushika huyo nakusapoti asilimia zote, ila kwa Analyse unapoteza muda 🤣🤣🤣🤣
Basi nipe baraka...nikiwa PA sitakuficha kitu bff nitakulindia asinyakuliwe na nyakunyaku wa mjini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa huyo nakupa hongera bff umejua kuchagua, mi na yy mtu na rafiki yake namzingua tyuuu!!
Mh. Waziri mpole mimi siwezani naye ntamchosha.! 😂😂😂😂