Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamuziki nguli wa bongo fleva na mmliki wa machozi band, Judith wambura aka lady jaydee ameonekana kusalimu amri kwa utawala wa radio clouds FM kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kuyumba kibiashara katika muziki wake.
Kutokana na hali hiyo, ndipo ikaelezwa jaydee akaamua kuwaangukia mahasimu wake(ruge na kusaga) ili waendelee kumsaidia kama ilivyokuwa mwanzo.
"Ni taarifa za kweli kabisa, wameshakaa kikao na jide akaomba asamehewe, wakati wowote kuanzia sasa mtasikia Nyimbo za Lady jaydee zikipigwa Clouds FM" kilisema chanzo hicho.
Mwanamuziki nguli wa bongo fleva na mmliki wa machozi band, Judith wambura aka lady jaydee ameonekana kusalimu amri kwa utawala wa radio clouds FM kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kuyumba kibiashara katika muziki wake.
Kutokana na hali hiyo, ndipo ikaelezwa jaydee akaamua kuwaangukia mahasimu wake(ruge na kusaga) ili waendelee kumsaidia kama ilivyokuwa mwanzo.
"Ni taarifa za kweli kabisa, wameshakaa kikao na jide akaomba asamehewe, wakati wowote kuanzia sasa mtasikia Nyimbo za Lady jaydee zikipigwa Clouds FM" kilisema chanzo hicho.
Mwanamuziki nguli wa bongo fleva na mmliki wa machozi band, Judith wambura aka lady jaydee ameonekana kusalimu amri kwa utawala wa radio clouds FM kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kuyumba kibiashara katika muziki wake.
Kutokana na hali hiyo, ndipo ikaelezwa jaydee akaamua kuwaangukia mahasimu wake(ruge na kusaga) ili waendelee kumsaidia kama ilivyokuwa mwanzo.
"Ni taarifa za kweli kabisa, wameshakaa kikao na jide akaomba asamehewe, wakati wowote kuanzia sasa mtasikia Nyimbo za Lady jaydee zikipigwa Clouds FM" kilisema chanzo hicho.
Kweny blogs
Tafiti zinaonyesha umaarufu na kipato cha Jide vimeongezeka tangu alivyogombana na clouds,followers weng kwenye page zake za fb,twitter nk wameongezeka.Pia redio nyingi za mikoan zinapiga sana nyimbo za jide.Pia kipind chake cha diary ya lady jde watazamaj wameongezeka sana baada ya ugomvi huu.
Jde hawez omba msamaha labda wapatanishwe.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sasa hbr inatoka kwenye blog ya BABA JONII au DJ FETTY unategemea nini?hahahahaKweny blogs