Lake Zone ni zone pekee nchini inaweza jitegemea na kuwa nchi

tumeacha
 
wewe huna cha kuandika hivi hawa wafuga ng'ombe wote ukiwarudisha kwao kutoka pande zote za TZ si itakuwa balaa fikiria kwanza ni washamba hawana wanachojua ni kama magogo itakuwaje
bado unamawazo yakizamani wewe kuwa kanda za ziwa wote ni washamba
 
ni mada tu mkuu syo siriazi usiogope hakuna mTanzania mwenye uthubutu wa kuanzisha harakati za kujitenga na hata kupindua nchi hakuna
 
Tutamuomba mzalendo wa afrika kagame aimege Kanda ya ziwa yote tuwe sehemu ya Rwanda.Tuachane na Hawa wasiojitambua ccm ambao wameletanumasikini uliokithiri Kwa miaka 64 ya utawala wao
 
Tutamuomba mzalendo wa afrika kagame aimege Kanda ya ziwa yote tuwe sehemu ya Rwanda.Tuachane na Hawa wasiojitambua ccm ambao wameletanumasikini uliokithiri Kwa miaka 64 ya utawala wao
upo sahihi
 
Tutamuomba mzalendo wa afrika kagame aimege Kanda ya ziwa yote tuwe sehemu ya Rwanda.Tuachane na Hawa wasiojitambua ccm ambao wameletanumasikini uliokithiri Kwa miaka 64 ya utawala wao
Unasema?
Wanyarwanda mpo wengi sana Tanzania, kuna siku mtafinywa na hamtaamini..
 
Tutamuomba mzalendo wa afrika kagame aimege Kanda ya ziwa yote tuwe sehemu ya Rwanda.Tuachane na Hawa wasiojitambua ccm ambao wameletanumasikini uliokithiri Kwa miaka 64 ya utawala wao
Hahahaaaaaa

Unaruka mkojo kukanyaga mavi
 
Kaskazini Tanga, Kimanjaro, Arusha, Manyara
Ikiwa nchi ndani miaka 20 itakuwa nchi yenye maendeleo makubwa.
kwahyo shida itakua ni nini kwanin Tz inakosa maendeleo ? unaposema hiyo mikoa ikijitenga itafika mbali baada ya miaka ishirini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…