Kumbe ni mule ndani, watumishi mule wanaroga sana kupigania migongo huwenda alitupiwa jini likammaliza kimyakimya?Jamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli tupu, ile migongo watu wanaitamani sana tena kwa mama anavyosafiri hivi tutegemee vifo vingi sana katika hospitali yao hiyo ya mzena.Hicho kitengo kina zana zote usipokuwa fit.. Unaondoka unajiona
Wakuu Mungu awe Nanyi Muda Wote.
.
Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya.
.
Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Hospital ya mzena.
.
Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali.
.
Dr. Mwinyi alivyopitishwa na Ccm Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.
.
Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji.
.
Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
.
Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.
.
R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro[emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2127041
Uchawi wa zanzibar ni hatari hawa kiboko yao ni kuwafungia safari ya congo unaenda kuzikwa siku tatu ukifukuliwa kutoka kaburini uchawi wao ni punje tu na yoyote atakayejitia kiherere anaenda kubusu miguu ya shetani kuzima.Angestuka mapema apangiwe kituo kingine cha kazi, hivi tunakwama wapi wazenji wamempa Red
Pia hakuna competent Medical doctors pale, pia uchawi umetamalaki sana ndani mule jumulisha majungu na fitina kama zote kama wewe ni mwepesi huchukui round wanafukia futi sita.KARMA; hawa watu wanaofia hospitali ya Mzena wana mambo mengi sana ya mauza uza nyuma ya pazia!!
😄😃Kimbola Hiko sio bure
Daaaah umenichekesha Sana Aiseeeh mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Pia hakuna competent Medical doctors pale, pia uchawi umetamalaki sana ndani mule jumulisha majungu na fitina kama zote kama wewe ni mwepesi huchukui round wanafukia futi sita.
Take it, jamaa kazidiwa kete na wazenji si unafahamu walivyo na majungu kwa watu wa bara. Tena kwa position aliyokuwepo makombora yalikuwa yanatupwa usiku kucha huwenda alijichanganya akanasa kwa kombora moja ndio maana akafutika.Daaaah umenichekesha Sana Aiseeeh mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya pa dii em mkuuUmeongea ukweli tupu, ile migongo watu wanaitamani sana tena kwa mama anavyosafiri hivi tutegemee vifo vingi sana katika hospitali yao hiyo ya mzena.
Mshana unataka kuniambia Unaweza kuta alikuwa miongoni mwa wasiojulikana?Karma mkuu..! Nakitafakari kifo kwa mapana yake. Chanzo na viasili vyake
Hapa ndipo mahali pekee naweza kuandia/kusema chochote kiongozi.Jf bhana kwani keyboard warrior kibao
Huo ujasiri unao wa kuzikwa siku tatu?Uchawi wa zanzibar ni hatari hawa kiboko yao ni kuwafungia safari ya congo unaenda kuzikwa siku tatu ukifukuliwa kutoka kaburini uchawi wao ni punje tu na yoyote atakayejitia kiherere anaenda kubusu miguu ya shetani kuzima.
Mpaka hapo ukiona mtu anaumwa lakin akifanyiwa vipimo haoni ugonjwa, ujue karma ya kiafrika imempata. Tatizo mkiwa kwenye system mnaona mna mamlaka juu ya viumbe wenzenu kuwafanyia lolote ili kuwafurahisha watawala...Jamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapokuwa kwenye kile kitengo kwanza unakuwa umeshapikwa na kuiva hasa..halafu kifuatacho ni kutii amri..!Mshana unataka kuniambia Unaweza kuta alikuwa miongoni mwa wasiojulikana?
Kwa wazee kama sisi ambayo tumefanya na kuona mengi ni sehemu ya mapito tu katika utafutaji. Na wale vijana wa kisasa wanaokuwa na midomo mirefu kutaka kukuchafua wengi washapoteza dira za maisha hii yote ni jeuri na ukosefu wa nidhamu kwa wakubwa zao.Huo ujasiri unao wa kuzikwa siku tatu?
na pia anatakiwa afahamu kuna public security officers na pia kuna secrete security officer.
public security officers wanajulikana na jamii hawa mfano ni walinzi wa viongozi na watendaji wengine wa tiss kama ma DSOs ,RSOs na DG wa TISS ma secrete security officer hawa hawajulikani na hawatakiwi kujulikana
Unaelewa maana ya 'secrete' ?
Anarudishwa Musoma badala ya kupelekwa kwa matibabu kwenye hospitali kubwa?Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
Kwahiyo wamemuondoa ili walee peke yaoHuyu si ndio Mange Kimambi alimuandika amezalisha huko Dodoma na ameshindwa kuhudumia mtoto