Uchaguzi 2020 Lamadi: Wananchi wafunga barabara na kumtaka Tundu Lissu asipite bila kuzungumza chochote

Uchaguzi 2020 Lamadi: Wananchi wafunga barabara na kumtaka Tundu Lissu asipite bila kuzungumza chochote


Aisee mpaka chozi limenitoka.
Kwa sababu wanaoshabikia Chadema wanaonekana na watawala. Na I'm sure viongozi wao wa maeneo hayo wanawaona wanavyoishabikia Chadema.

I'm sure they will have hard times ahead. Sana tena. Maskini Lissu atakua kashaondoka. Tuseme na Lissu akashindwa na uchaguzi. Life baada ya hapo haitakua sawa kwa baadhi yao. I feel aisee kwa hawa watu.

Ila Mungu atawasaidia.
Sometimes I wonder why enzi za Kikwete na Mkapa uonevu wa waziwazi ulikua haufanyiki jamani.
Basi kama vipi vyama vingi tufute mpk Magufuli amalize uraisi.
 
Ukiona katika nyumba watoto wanafanya uovu wa kujirudia rudia kisha baba yupo kimya bila kukemea hapo upaswi kutojua moja jumlisha moja ni mbili
 
Aisee mpaka chozi limenitoka.
Kwa sababu wanaoshabikia Chadema wanaonekana na watawala. Na I'm sure viongozi wao wa maeneo hayo wanawaona wanavyoishabikia Chadema.
I'm sure they will have hard times ahead. Sana tena. Maskini Lissu atakua kashaondoka. Tuseme na Lissu akashindwa na uchaguzi. Life baada ya hapo haitakua sawa kwa baadhi yao. I feel aisee kwa hawa watu.
Ila Mungu atawasaidia.
Sometimes I wonder why enzi za Kikwete na Mkapa uonevu wa waziwazi ulikua haufanyiki jamani.
Basi kama vipi vyama vingi tufute mpk Magufuli amalize uraisi.
Shetani akimbiwi, hukabiliwa kwa maombi
 
we kwa akili zako unadhani ndio unaweza kumshinda maghufuli uchaguzi huu?? Jitekenye na ucheke mwenyewe, watu walimpigia deki Lowasa, wana ccm waliogopa kuvaa sare 2015 nini kilitokea? tafuta pesa acha kudhani Lissu atakuwekea hela mfukoni jombaa!
CCM wapuuzi sana, hivi ninyi mnaishi sayari gani? Laurent Gbagbo wa Ivory cost na dikteta mwenzake wa Gambia waling'oka vipi? Magufuli anawashinda ubabe wale Washenzi?
Zama zimebadirika, hata ninyi mnaotegemea KUPORA na KUKIMBIA na masanduku ya kura mtashangazwa sana safari hii.
 
we kwa akili zako unadhani ndio unaweza kumshinda maghufuli uchaguzi huu?? Jitekenye na ucheke mwenyewe, watu walimpigia deki Lowasa, wana ccm waliogopa kuvaa sare 2015 nini kilitokea? tafuta pesa acha kudhani Lissu atakuwekea hela mfukoni jombaa!
Nyie ndo masalia mliobaki mnarusharusha miguu kabla ya kukata roho tar. 28/10
 
we kwa akili zako unadhani ndio unaweza kumshinda maghufuli uchaguzi huu?? Jitekenye na ucheke mwenyewe, watu walimpigia deki Lowasa, wana ccm waliogopa kuvaa sare 2015 nini kilitokea? tafuta pesa acha kudhani Lissu atakuwekea hela mfukoni jombaa!
Umemaliza kubridi uvue pedi maana sio akili yako
 
Toka lini amekuwa mchapakazi zaidi ya propaganda kutumia ukali kufichia udhaifu wake, ujenzi ndio wanamjua zaidi hamna kitu pale bora angalau angebakia kwenye kuhesabu kilometers za barabara tu huku anapwaya Sana bila yule mwizi mwenzake waliyeiba wote nyumba zetu za serikali Hadi kuwagawia mahawara zao asingepata nafasi ya kutesa na kuumiza watz.
Haya yote hatukuyajua mwanzo
 
Magufuri angekuwa Kati ya marais bora walio tawala Tanzania nazani alikosa washauri wazuri
Akafuata ushauri wa akina makonda na wengine wajinga wajinga kama kina gambo chalamila hapi muro sabaya hawa wamemuhalibia sana magufuri na yeye alifanya kosa kubwa kuwaacha
Tatu walipo anza watu wasio julikana hapa ndio nikakichikia kabisa ccm pamoja na rais hata kufanya uchunguzi wa kinafiki akaa kimya
Kiukweli siwezi kuchangua ccm tena naenda na lisu
Ccm ya Leo vijana haitusamini kabisa watu wapo mtaani tu ajira hakuuna ila watoto wao wanapewa ajira ila si wa huku mgombe vijijini tujiajili jamani
Naongea kwa uchungu sana ila ccm tutawafurahisha safari hii mtaiba hadi mtashindwa tu tutapiga kula za kimbunga haijawahi tokea
Hata kama...
 
Back
Top Bottom