Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lami itatusaidia kufata utumbo wa kuku, mihogo na dagaa mchele sehemu tofauti tofauti za jiji la Dar kwa kasi zaidi.Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
Nauli watatoa wapi? Au watatembea kwa miguu juu ya lami?Lami itawasaidia kufata utumbo wa kuku, mihogo na dagaa mchele sehemu tofauti tofauti za jiji la Dar kwa kasi zaidi.
Pia itawasaidia kondoo kuchungwa vizuri wakipelekwa machinjioni vingunguti.
hata kutembea kwa mguu kwenye lami huchokiNauli watatoa wapi? Au watatembea kwa miguu juu ya lami?
Nauli haijawahi kuwa tatizo wakati hakuna lami, itakuwa tatizo kukiwa na lami?Nauli watatoa wapi? Au watatembea kwa miguu juu ya lami?
Utumbo wa kuku natupa jalalani. Kama una dhiki lami ya nini? Kwa nini usipewe mtaji ili ujikomboe? Tril 1?Nauli haijawahi kuwa tatizo qakati hakuna lami, itakuwa tatizo kukiwa na lami?
Tukikosa nauli si tunakungoja wewe mwenye gari utuletee utumbo wa kuku ukichinja kwako, au utakwenda kuutupa na sisi wenye dhiki tupo?
Halafu nashangaa wakuja wanajazana kwenye dhiki, huko walipotokea kukoje?
Wewe wakuja Dar au ni mtu wa Dar kama sisi?Utumbo wa kuku natupa jalalani. Kama una dhiki lami ya nini? Kwa nini usipewe mtaji ili ujikomboe? Tril 1?
Ndiyo, tuliozaliwa na kukulia Dar , sisi na wazee wetu.Dar ina watu wake?
Kwa hiyo mkizaliwa Dar ndio asubuhi mle mihogo na chachandu, mchana dagaa mchele na ugali na miguu ya kuku? Sisi huku Igunga tunaamka na supu ya kuku, mchana ugali nyama ng'ombe na mlenda. Usiku ugali nyama ng'ombe na maziwa mgando.Ndiyo, tuliozaliwa na kukulia Dar , sisi na wazee wetu.
Hivi hujuwi hata nyerere alikuwa wakuja, alikaribishwa na wenyeji wa Dar?
Wewe ni wa Dar au wakuja?
Hujajibu swali langu bado. Au umelisahau?Kwa hiyo mkizaliwa Dar ndio asubuhi mle mihogo na chachandu, mchana dagaa mchele na ugali na miguu ya kuku? Sisi huku Igunga tunaamka na supu ya kuku, mchana ugali nyama ng'ombe na mlenda. Usiku ugali nyama ng'ombe na maziwa mgando.
Wewe ni wa Dar au wakuja?Swali gani?
Sikuwahi kufikiria kama JF ina Watu wenye Akili kama hizi...LohNilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
Hakuna mtu wa Dar, wote ni wakuja. Labda kidogo Mzaramo. 😛Wewe wakuja Dar au ni mtu wa Dar kama sisi?
Kondoo anaandika nyuzi JF?Huyo kondoo aliyeleta hii mada hata Dar hajawahi kufika.