Land Cruiser J300 ijipange, hii next gen Nissan Patrol ni habari nyingine!

Land Cruiser J300 ijipange, hii next gen Nissan Patrol ni habari nyingine!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
post26104_5.jpg

Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
post26104.jpg

Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
post26104_2.jpg

Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
post26104_1.jpg
post26104_4.jpg

Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
 
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Bado vyuma vya kinyama vitabaki kuwa BMW na Range Rover/Land Rover
 
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Bado vyuma vya kinyama vitabaki kuwa BMW na Range Rover/Land Rover
Hao jamaa uliwataja hawana chao kwenye EV's kumbuka hao walikuwa wababe kwenye combustion engine Ila huku UMEME kuna makampuni ya ajabu yanaibuka kilasiku na Wanafanya vizuri sokoni hasa ulaya na Australia
Itachukua muda sana kuwapiku.. Usiwaone wako kimya hawajakaa kizembe watakuja kumaliza ngebe zote
Kumbuka hata mgeni rasmi huingia wa mwisho
 
Hawamwogopi yeye wanaogopa na kuheshimu gari hapo ukiwa na chuma kali watabaki kukusalimia mwaka mzima na kujichekesha uwape hela ya Lunch ukiwa na gari ngumu kama yangu trafik anakuja kanuna kama kaona adui..
Hahahaha 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆
Nchi yetu hii ni ngumu Sana kuishi
 
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Wape miezi miwili tu utaina waheshimiwa wanazo, km 0. Patrol naona wameipa V6 twin turbo similar to LC300
 
Back
Top Bottom