Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunashangilia ubunifu wa wengine wakati mpango mzima ni gari za umeme,kwanini revolution ya umeme inashindikana Na kwanini isiwe zetu wenyewe mbona Nigeria na Ghana wametengeneza gari nzuri tuu,huu ni utumwa likatizamwe hili pia.Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Nissan Armada naikubali sana hizi chuma sijui kwann hazipo midomoni mwa watu kama LC wakati nazo ni 🔥🔥🔥
Chuma ikishakuwa petrol v8 huwezi kuwaona wabongo hapoNissan Armada naikubali sana hizi chuma sijui kwann hazipo midomoni mwa watu kama LC wakati nazo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Traffic hawezi sogelea SUV kizembeItakuwa ni hiyohiyo aisee...Yule mwamba hata traffic wanamwogopa
Eeh ni twin turbo v6 hii ina horsepower 10 zaidi ya ile LC300 ZXWape miezi miwili tu utaina waheshimiwa wanazo, km 0. Patrol naona wameipa V6 twin turbo similar to LC300
Haya madude ukikutanayo nayo barabarani huwa yanakaa kuia mwa barabara Yana uwezo wa ku-overtake hata magari matanoEeh ni twin turbo v6 hii ina horsepower 10 zaidi ya ile LC300 ZX
TATA hamna gari mule, ni powertiller zilizochangamkaMi nasubiri Tata V6 la mhindi tu hayo ma LJ300 pasua kichwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya madude ukikutanayo nayo barabarani huwa yanakaa kuia mwa barabara Yana uwezo wa ku-overtake hata magari matano
Bado vyuma vya kinyama vitabaki kuwa BMW na Range Rover/Land RoverNaona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Itachukua muda sana kuwapiku.. Usiwaone wako kimya hawajakaa kizembeHao jamaa uliwataja hawana chao kwenye EV's kumbuka hao walikuwa wababe kwenye combustion engine Ila huku UMEME kuna makampuni ya ajabu yanaibuka kilasiku na Wanafanya vizuri sokoni hasa ulaya na Australia
Nazielewa sana hizo chumaHapa mzee umeleta unazi kwenye hizo chuma😀😆
Ina namba kama ya IST yako mkuu?😀😃Babuuu hiyo Prado ni balaa alafu jamaa hajaweka tinted ili aonekane na ina namba kama yangu EHP
IST sio gari bossIna namba kama ya IST yako mkuu?😀😃
Nissan ni gari nzuri sana. Ngoja niuze madafu nitanunua chombo hiyo.
Nimeona moja Dodoma kali sana imempakia “nimekosa sana”. Hadi nimesimama kuishangaaNaona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Hio Code wenye A mbili ndio tumeipata 😀 😀 😀 😀 😀Nimeona moja Dodoma kali sana imempakia “nimekosa sana”. Hadi nimesimama kuishangaa
Nissan kwa pale wameupiga mwingi
Ndiyo UkweliHaya tutaishia kuyaona barabarani tu wanaendesha wenye nchi,wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa wapigaji.kuchukua chuma latest kama hiyo mwakani 0 km?