Land Cruiser J300 ijipange, hii next gen Nissan Patrol ni habari nyingine!

Land Cruiser J300 ijipange, hii next gen Nissan Patrol ni habari nyingine!

Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Ila Landcruiser si V8!?
 

Attachments

  • IMG_20240903_125840.jpg
    IMG_20240903_125840.jpg
    82 KB · Views: 5
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Kuna ile Nissan Armada ....asee ya moto sana. Ina interior ya kibabe sana
 
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Bado sijaona chuma kama SGR
 
Ulichoongea ni sahihi kabisa mkuu, week iliyopita nilienda mzuzu na chuma moja hivi ya dogo, ilikuwa ni mwendo wa kupigiwa salute tu kwenye vizuizi. Dogo akawa anashangaa tu
Malawi ukiwa na mshine kali kwenye vizuizi unapigiwa salute kwanza kabla ya kuja kukaguliwa wao wanaamini mwenye chuma kali ni mtu wa Serikal
 
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Machine zake nzuri ila wanafeli sana kwenye mashavu hayana mvuto
 
Tunashangilia ubunifu wa wengine wakati mpango mzima ni gari za umeme,kwanini revolution ya umeme inashindikana Na kwanini isiwe zetu wenyewe mbona Nigeria na Ghana wametengeneza gari nzuri tuu,huu ni utumwa likatizamwe hili pia.
Una hoja nzito. Uzingatiwe!
 
Back
Top Bottom