Ila Landcruiser si V8!?Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Juzi nimekutana na Prado new model 2024 wabongo Wana pesa aisee...hata hii chuma nissan wametisha Sana kushinda Toyota
Kuna ile Nissan Armada ....asee ya moto sana. Ina interior ya kibabe sanaNaona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
halafu namba ni A,sijui kadi zao hujieleza nini ?au trafiki ni vibisa kwao?Wape miezi miwili tu utaina waheshimiwa wanazo, km 0. Patrol naona wameipa V6 twin turbo similar to LC300
Za moto sana hizi....naona Nissan walizitengeneza focus ikiwa kwenye soko la North America. Kali sanaaaaa na zina interior ya kibabe ...Nissan Armada naikubali sana hizi chuma sijui kwann hazipo midomoni mwa watu kama LC wakati nazo ni π₯π₯π₯
Ukikutana nayo route za mbali inavyo kata upepo kama umesimama vileeZa moto sana hizi....naona Nissan walizitengeneza focus ikiwa kwenye soko la North America. Kali sanaaaaa na zina interior ya kibabe ...
Ni kweliUkikutana nayo route za mbali inavyo kata upepo kama umesimama vilee
Hizi j300 naona muonekano wake hauja bamba kivile
Umeionaje wakati hiyo gari bado haijatoka au haujamwelewa mleta uzi.Nimeona moja Dodoma kali sana imempakia βnimekosa sanaβ. Hadi nimesimama kuishangaa
Nissan kwa pale wameupiga mwingi
Zile number huwa zimeshatumika na maagari ya zamani, halaf ni trick ya kizamani sana , hawajiongezi nje ya boxhalafu namba ni A,sijui kadi zao hujieleza nini ?au trafiki ni vibisa kwao?
Bado sijaona chuma kama SGRNaona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Shirika la Umma
Watu Ε΅a system wale. Hata mi nilikuwa najiulizaga sana.Zile number huwa zimeshatumika na maagari ya zamani, halaf ni trick ya kizamani sana , hawajiongezi nje ya box
Malawi ukiwa na mashine kali kwenye vizuizi unapigiwa salute kwanza kabla ya kuja kukaguliwa wao wanaamini mwenye chuma kali ni mtu wa Serikali.Hahahaha π π π π π π π
Nchi yetu hii ni ngumu Sana kuishi
Magari ya kuendea Disco hayo.Bado vyuma vya kinyama vitabaki kuwa BMW na Range Rover/Land Rover
Malawi ukiwa na mshine kali kwenye vizuizi unapigiwa salute kwanza kabla ya kuja kukaguliwa wao wanaamini mwenye chuma kali ni mtu wa Serikal
Machine zake nzuri ila wanafeli sana kwenye mashavu hayana mvutoNaona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
View attachment 3087256
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
View attachment 3087255
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio tena 5.6L!
View attachment 3087254
Ndani imekaa kishua sana, italeta upinzani wa kutosha kwa LC.
View attachment 3087257View attachment 3087258
Naona SU wanazipenda sana, tutegemee kuziona za kutosha mjini Dodoma.
Una hoja nzito. Uzingatiwe!Tunashangilia ubunifu wa wengine wakati mpango mzima ni gari za umeme,kwanini revolution ya umeme inashindikana Na kwanini isiwe zetu wenyewe mbona Nigeria na Ghana wametengeneza gari nzuri tuu,huu ni utumwa likatizamwe hili pia.