LATRA: Mabasi 759 yanayofanya safari za Usiku yanazidisha Speed na kuchezea mfumo wa ufuatiliaji taarifa za gari (VTS)

Bahati nzuri unaongea na MTU ambaye nasafiri Kila wakati, najua ninachoongea! Labda kama unahitaji tu tubishane which I am not ready for that!
Dear, unaweza kusafiri hata kila siku lakini ukawa wrong kwenye analysis yako. Haya mambo yanakwenda kwa scientific facts zaidi na siyo hisia za mtu mmoja.
 
Unataka usiku speed iwe 100km/hr mkuu, nadhani ufikirie kwanza hayo mawazo yako.
 
Unataka usiku speed iwe 100km/hr mkuu, nadhani ufikirie kwanza hayo mawazo yako.
Ndugu yangu, usiku wanatembea zaidi ya hio, niliwahi kuandika sana hapa jukwani nikaweka Hadi Screenshot, hawa jamaa ni wanafiki tu, Niliwahi kuweka hapa jukwani speed ya Frester tulikua tunatoka Kahama kuja Dar, ilikua 132kh/hr Tena asubuhi, niliwahi kuweka hapa ushahidi mwingine wa Superfeo ya Mwanza to Songea alikua anatembea 140km/hr Tena pale Makambako kwenda Njombe tukaitumia 25 minutes, niliwahi kuweka hapa ushahidi wa Nacharo ya Dar Tanga alikua 130km/hr
 
Dear, unaweza kusafiri hata kila siku lakini ukawa wrong kwenye analysis yako. Haya mambo yanakwenda kwa scientific facts zaidi na siyo hisia za mtu mmoja.
Ila speed 80 hakuna basi linatembea huo mwendo ni uongo Ndugu yangu, why tuseme uongo? Hawa wote ni wachakachuaji, I am not advocating for high speed ila nataka tuwe wakweli
 
Kwa barabara zipi mkuu? Hatuna njia za viwango hivyo, labda mlazimishe kama kawaida yenu.
Tanzania Kwa Sasa inajenga barabara Zenye upana unaoridhisha.

Pengine Kama mnaogopa usiku walau hiyo speed iruhusiwe mchana.
 
Findings za LATRA

View: https://twitter.com/BusesNation/status/1722646636441289050?t=xja2InY5iqqllPF15k2Vjw&s=19
 
Hao latra nao, mtu atembee usiku kucha na maximum speed ya 80km/hr... Hivo vingamuzi vimejaa upigaji mtupu tu hakuna kitu
Mpwa hakuna basi linatembea speed 80, uko sahihi kabisa! Hawa ni wapigaji tu na ni attention seekers. Wanataka waonekane wanafanya kitu
 
Kwa Sasa barabara nyembamba sio issue sana, Kwa uzoefu wangu
Mkuu ni kwa sababu kulikuwa na katazo. Trust me. Usiku kwanza kuna mi-lori mingi na ndiyo ilikuwa chanzo kikubwa cha ajali enzi hizo za zamani. Dreva wa basi analivaa lori lililoharibikia sehemu kwa nyuma huku yuko kwenye mwendo mkali.
 
Mkuu ni kwa sababu kulikuwa na katazo. Trust me. Usiku kwanza kuna mi-lori mingi na ndiyo ilikuwa chanzo kikubwa cha ajali enzi hizo za zamani. Dreva wa basi analivaa lori lililoharibikia sehemu kwa nyuma huku yuko kwenye mwendo mkali.
Mpwa ajali ni ajali tu, Kuna maboresho yanatakiwa kufanyika ila sio kuzuia speed to 80. Ngoja nikwambie kitu, week Moja iliyopita nilikua naenda Mpanda, tukiwa tunakaribia Inyonga saa Saba usiku, Dereva akaanza kusinzia na nusura tugongane uso Kwa uso na Lory kama sio Mimi na co-driver kumstua, my point is sio Kila ajali inasababishwa na lory kupaki njiani na NDIO maana nikasisitiza kuwa inabidi kuboresha tu huu usafiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…