ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
12m ndio kitu gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
12m ndio kitu gani mkuu?
12m road span12m ndio kitu gani mkuu?
Speed 80 inawatosha sana maana wamebeba roho za watu, waache kulialia.....tunaoendesha gari binafsi speed 80 ni mwendo wa kasi kubwa tu na unakuta mtu unaifikia mara chache tu.Sikuelewi kabisa! Kwamba ni speed ndogo? Kwamba ukiendesha kwa speed kubwa biashara za viongozi zitakufa hivyo wanalazimisha speed iwe 80?
Kati ya mabasi 246, asilimia 80 (mabasi 197) yamebainika yanaendeshwa kwa mwendo kasi kati ya kilomita 86 hadi 89 kwa saa, huku asilimia tisa yakiendeshwa kwa kilomita 90 hadi 103 kwa saa,” ilisema.
KWELI Kabisa Wahuni Hao.Wameona biashara zao zinakufa wameanza visingizio! I hate it, nchi ya ajabu sana hii, uendeshe speed 80 usiku si utasinzia? Au wanataka tufe wafurahi?
RUSHWA RushwaYaani hawa watu bado tu wapo na mawazo ya miaka ya uhuru, barabara nzuri sheria za miaka ya uhuru, kweli wameshindwa kabisa kuongeza hiyo speed 20 ili ikamilike 100 kwa mabasi?
Hivi hawa wanapoenda nchi za watu huko huwa hajifunzi!?
Wezi saaana Hao,, Dili zimekataSioni Logic ya kuendesha speed 80 usiku, LAZIMA tukubali kubadilika, at least wazungumzie speed 100 sio 80. Mabasi yote ya usiku ni mapya na ni mazima, usiku hakuna kelele nyingi, iweje tuendelee kushikilia Sheria za kipumbavu? Mwanzoni walisema usiku kutakua na ajali nyingine, MUNGU kawaumbua Sasa wanakuja na ujinga mwingine
Spidi mia ndogo saaana iwe 105 Kwa UsikuBahati nzuri unaongea na MTU ambaye nasafiri Kila wakati, najua ninachoongea! Labda kama unahitaji tu tubishane which I am not ready for that!
Kabisaaa njaaa imeanza BabaUongo uo mmeona hesabu haziji hamkai loud usiku mnakaa nawake zenu na usiku toch hakuna mabosi wa mabasi wote wamekaza wanatembea usiku mnahisi mtakufa njaa zamani tuliwahisi mabosi wa hakuna kulala ndo wanazuia izi route kumbe ni nyie
CHADEMA walikufanya nini??Hayo machadomo akili zao ni finyu sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Inahitaji kuwa mpumbavu ndio uwaelewe. Akili zao zinakosa consistency na utulivu Kwa sababu wamejaa chuki.
Usiku speed 80 inatosha na pia barabara sehemu kubwa ya nchi sio nzuri kwa mwendokasi.Yaani hawa watu bado tu wapo na mawazo ya miaka ya uhuru, barabara nzuri sheria za miaka ya uhuru, kweli wameshindwa kabisa kuongeza hiyo speed 20 ili ikamilike 100 kwa mabasi?
Hivi hawa wanapoenda nchi za watu huko huwa hajifunzi!?
80 inatosha kwa mabasi makubwa usiku.Spidi mia ndogo saaana iwe 105 Kwa Usiku
Nawapongeza LATRA na Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani kwa hili.Mwezi mmoja tangu Serikali iruhusu safari za mabasi kwa saa 24, tathimini ya mamlaka za usimamizi imeonyesha kuwepo ukiukwaji mkubwa wa sheria na kanuni za usalama barabarani, hali inayohatarisha usalama kwa abiria na mali zao.
Kutokana na ukiukwaji huo, ndani ya muda huo mabasi 759 yamekamatwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) kwa kushirikiana na Kikosi cha Usalama Barabarani kwa kuzidisha mwendo na kuchezea mfumo wa VTS unaodhibiti na kutoa taarifa za kasi ya gari.
Taarifa ya pamoja iliyotolewa jana na Mkurugenzi Mkuu wa Latra, Habibu Suluo na Kamanda wa Trafiki, Ramadhan Ng’anzi ilieleza kati ya mabasi hayo, 723 yalipewa onyo na mengine kusitishiwa leseni.
“Mabasi yaliyositishiwa leseni mpaka mamlaka itakapojiridhisha kwamba wamebadilika ni 36.
“Kati ya mabasi 246, asilimia 80 (mabasi 197) yamebainika yanaendeshwa kwa mwendo kasi kati ya kilomita 86 hadi 89 kwa saa, huku asilimia tisa yakiendeshwa kwa kilomita 90 hadi 103 kwa saa,” ilisema.
Madereva waliofungiwa
View attachment 2810170View attachment 2810171View attachment 2810173
View attachment 2810172
Orodha ya Mabasi yaliyofungiwa View attachment 2810177View attachment 2810178